Mkwara unasaidia

Mkwara unasaidia

kakuruvi

JF-Expert Member
Joined
Sep 2, 2009
Posts
770
Reaction score
259
Mzee mmoja aliibiwa pesa kwenye daladala, akapaza sauti ''jamani aliyeniibia pesa yangu tafadhali anirudishie haraka nisije nikafanya kama nilivyofanya mwaka juzi''
Watu wote wakabaki kimya mwizi akaogopa akaamua kujitokeza kurudisha na kuomba msamaha. Watu wakamuuliza kwani mwaka juzi Babu ulifanya nini ulipoibiwa?
Mzee akawajibu '' nilitembea kwa miguu toka Kariakoo mpaka nyumbani Mbagala'' du watu haaahahahahaaaaaaaa kwa kicheko!
 
ama kweli; lakini inabidi ufahamu jinsi ya kuuweka huo mkwara, vinginevyo utasomeka......
 
Kuna gari limeandikwa hivi "pesa huna, nguvu huna, hata mkwara?". Ndio hio sasa ya babu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom