Mkuu wa Wilaya ya Mkalama amemfukuza kazi Afisa Afya wa Wilaya kwa makosa ya Ubadhirifu

Sasa mkurugenzi wa halmashauri na mkuu wa wilaya nani mkubwa? Ni sawasawa na kusema rais hana mamlaka, ila katibu mkuu kiongozi ndio anayo. Acheni upumbavu wa kuzungusha mikono...fanyeni utafiti...wakuu wa mikoa na wilaya ni watu wazito sana TAMISEMI. Hivyo ishu yoyote inayohusu watumishi wa umma katika wilaya au mkoa...ipo chini ya mamlaka ya wakuu wa wilaya na mikoa respectively. Wakuu wa wilaya ndio wawakilishi wa rais katika wilaya husika. Sio nafasi ndogo hii.

Kinacho wakera wengi ni kuona kuwa wakuu hao wa wilaya na mikoa ni makada wa CCM...mmesahau kuwa hata rais wa nchi nae ni kada wa CCM...hahahaha
Kwa upu.pu huu nina mashaka kama unafahamu vizuri namna system ya serikali inavyofanya kazi,
Hivi unafahamu mamlaka ya nidhamu ya mtumishi wa umma ni nani???
labda tuanzie hapo
 
Acha uwongo Wewe.
Mbona wakuu wengine wa mikoa hutoa mapendekezo kwa mkurugenzi ili hatua zichukuliwe?

Mkuu wa mkoa au mkuu wa wilaya hana mamlaka ya kumsimamisha kazi hata mwalimu.

Haya tayari amesimamisha sasa....unasemaje?
 
Tukananeni weee lakini hata mimi wa ukawa naona jamaa kakosea, kusimamishwa ni haki yake na mwisho apelekwe kwa pilato haki ionekane iko wapi.

Hata serikali ya ukawa ingefanya hivyohivyo, ndiyo... Ndo dawa ya wahujumu mali za umma
 
Haya tayari amesimamisha sasa....unasemaje?

Hana hayo mamlaka.

Mkuu wa mkoa wa katavi alimsimamisha mkurugenzi wa manispaa
Kwa sababu mkurugenzi anajua sheria, basi mkurugenzi hadi Leo anaenda ofisini,
Wanapishana tu coridoni na RC,na hana cha kumfanya
 
Kwa upu.pu huu nina mashaka kama unafahamu vizuri namna system ya serikali inavyofanya kazi,
Hivi unafahamu mamlaka ya nidhamu ya mtumishi wa umma ni nani???
labda tuanzie hapo

Kama ishu inahusu ubadhirifu na uzembe kazini...mkuu wa wilaya anachukua hatua za kinidhamu kwa mtumishi yeyote wa umma katika ngazi ya wilaya yake.

Nenda google katazame matukio ya aina hiyo...ya wakuu wa wilaya kusimamisha watumishi wa umma...yapo tangu enzi za Nyerere.
 
Image yake ili akiwatoroka polisi sisi tumkamate popote tutakapo muona
 
Nadhani wewe umepitwa na wakati sidhani kama unajua unachobishania ?.


Sasa mkurugenzi wa halmashauri na mkuu wa wilaya nani mkubwa? Ni sawasawa na kusema rais hana mamlaka, ila katibu mkuu kiongozi ndio anayo. Acheni upumbavu wa kuzungusha mikono...fanyeni utafiti...wakuu wa mikoa na wilaya ni watu wazito sana TAMISEMI. Hivyo ishu yoyote inayohusu watumishi wa umma katika wilaya au mkoa...ipo chini ya mamlaka ya wakuu wa wilaya na mikoa respectively. Wakuu wa wilaya ndio wawakilishi wa rais katika wilaya husika. Sio nafasi ndogo hii.

Kinacho wakera wengi ni kuona kuwa wakuu hao wa wilaya na mikoa ni makada wa CCM...mmesahau kuwa hata rais wa nchi nae ni kada wa CCM...hahahaha
 
Hana hayo mamlaka.

Mkuu wa mkoa wa katavi alimsimamisha mkurugenzi wa manispaa
Kwa sababu mkurugenzi anajua sheria, basi mkurugenzi hadi Leo anaenda ofisini,
Wanapishana tu coridoni na RC,na hana cha kumfanya

Akili zako za darasa la saba zinanipa shida...siwezi kujibizana na kilaza ambae mambo madogo madogo anashindwa kuyatambua.

Nenda google katazame matukio ya ma-DC na ma-RC kuwasimamisha kazi watumishi wa umma. Tafadhali usibizane tena na mimi.
 
Kumsimamisha mtu kazi ni sawa kama makosa yapo, ila jukumu hilo lipo chini ya mkurugenzi, ila now days kumekuwa na kama fashion kusimamisha kufukuza tena hawa wakuu wa wilaya na mikoa kila mmoja anatafuta atoke vp aonekane anafanya kazi, swali la kujiuliza nani alimpa go ahead ya kutoa izo pesa, Lazima kuna ma signatories na mkurugenzi alipitisha ndo pesa zikitolewa bank, na inawezekana alivyo kuwa anachukua ndo alikuwa anaenda kutoa mafunzo kwa wananchi
 
Kuna haja ya kuchukua hatua kwa Halmashauri zote hizo pesa za magonjwa yasiyopewa kipaumbele (NTDs) zimekuwa zikiliwa tu bila kufanyiwa kazi
 
Sasa mkurugenzi wa halmashauri na mkuu wa wilaya nani mkubwa? Ni sawasawa na kusema rais hana mamlaka, ila katibu mkuu kiongozi ndio anayo. Acheni upumbavu wa kuzungusha mikono...fanyeni utafiti...wakuu wa mikoa na wilaya ni watu wazito sana TAMISEMI. Hivyo ishu yoyote inayohusu watumishi wa umma katika wilaya au mkoa...ipo chini ya mamlaka ya wakuu wa wilaya na mikoa respectively. Wakuu wa wilaya ndio wawakilishi wa rais katika wilaya husika. Sio nafasi ndogo hii.

Kinacho wakera wengi ni kuona kuwa wakuu hao wa wilaya na mikoa ni makada wa CCM...mmesahau kuwa hata rais wa nchi nae ni kada wa CCM...hahahaha

Halafu swala la kuita watu usio wafahamu wapumbavu linaonyesha uwezo wako wa kufikiri. Mkuu wa wilaya ni kada wa chama na ni mwakilishi wa rais. Hapo upo sawa kabisa. Sasa ni lazima ujue ki utendaji yeye siye mwenye mamlaka ya kufukuza watu walio chini ya halmashauri. Mkurugenzi ndiye top hapo. Anachoweza kufanya mkuu wa wilaya ni kupeleka report kwa Mkurugenzi halafu maamuzi yanafanywa tena sio kwenye TV kama ndugu zako wanavyofanya. Sheria zipo hii nchi. Ukiwa makini na ukaacha sarakasi zako za kijinga, utagundua ni jinsi gani hao wakuu wako wa wilaya wanavyotumia ofisi zao vibaya. Maamuzi ya kukurupuka kama wewe ulivyo mwepesi kuwaita watu usio wafahamu wapumbavu.
 
Back
Top Bottom