Mkuu wa wilaya ya Bunda Bi.Lidya Bupilipili,mkuu wa kikosi cha JKT 822 KJ, Wanusurika Kifo cha Maji

figganigga

JF-Expert Member
Oct 17, 2010
25,720
55,852
Mkuu wa wilaya ya Bunda Bi.Lidya Bupilipili,mkuu wa kikosi cha JKT 822 KJ Rwamkoma Meja David Msakulo na viongozi wa usalama wa JKT na JWTZ wamenusurika kifo baada ya boti walilokuwa wamepanda kuzama wakati wakikagua maeneo ya kufugia samaki eneo la Bulamba ktk Ziwa victoria wilayani Bunda.

Viongozi hao ambao walikuwa na ujumbe kutoka UNDP wameokolewa na vijana wa JKT na JWTZ wanaosimamia mradi huo mkubwa wa JKT wakiwa umbali wa zaidi ya mita mia mbili toka nchi kavu.

Taarifa toka eneo la tukio zinasema viongozi na maafisa hao wote wako salama na sasa wanarejeshwa nchi kavu.

Chanzo: ITV
 
Mkuu wa wilaya ya Bunda Bi.Lidya Bupilipili,mkuu wa kikosi cha JKT 822 KJ Rwamkoma Meja David Msakulo na viongozi wa usalama wa JKT na JWTZ wamenusurika kifo baada ya boti walilokuwa wamepanda kuzama wakati wakikagua maeneo ya kufugia samaki eneo la Bulamba ktk Ziwa victoria wilayani Bunda.

Viongozi hao ambao walikuwa na ujumbe kutoka UNDP wameokolewa na vijana wa JKT na JWTZ wanaosimamia mradi huo mkubwa wa JKT wakiwa umbali wa zaidi ya mita mia mbili toka nchi kavu.

Taarifa toka eneo la tukio zinasema viongozi na maafisa hao wote wako salama na sasa wanarejeshwa nchi kavu.

Chanzo: ITV
Mungu ni mwema kawaponya
 
Mkuu wa wilaya ya Bunda Bi.Lidya Bupilipili,mkuu wa kikosi cha JKT 822 KJ Rwamkoma Meja David Msakulo na viongozi wa usalama wa JKT na JWTZ wamenusurika kifo baada ya boti walilokuwa wamepanda kuzama wakati wakikagua maeneo ya kufugia samaki eneo la Bulamba ktk Ziwa victoria wilayani Bunda.

Viongozi hao ambao walikuwa na ujumbe kutoka UNDP wameokolewa na vijana wa JKT na JWTZ wanaosimamia mradi huo mkubwa wa JKT wakiwa umbali wa zaidi ya mita mia mbili toka nchi kavu.

Taarifa toka eneo la tukio zinasema viongozi na maafisa hao wote wako salama na sasa wanarejeshwa nchi kavu.

Chanzo: ITV
Yawezekana walienda kuwakamata wazee wa kuvua kwa kutumia kokoro. Lakini sasa ikageuka na
Hapo ndipo unapoona kuwa "kifo" hakina mchezo mchezo , yaani kinaweza kika ku beep bila kujali cheo chako
afu ukakuta hata mvuvi anayevua kwa kutumia ngalawa au kokoro akawa mtu wa muhimu na msaada wana
kwako na wenzio.
 
HABARIZAHIVIPUNDE:Mkuu wa wilaya ya Bunda Bi.Lidya Bupilipili,mkuu wa kikosi cha JKT 822 KJ Rwamkoma Meja David Msakulo na viongozi wa usalama wa JKT na JWTZ wamenusurika kifo baada ya boti walilokuwa wamepanda kuzama wakati wakikagua maeneo ya kufugia samaki eneo la Bulamba ktk Ziwa victoria wilayani Bunda.

Viongozi hao ambao walikuwa na ujumbe kutoka UNDP wameokolewa na vijana wa JKT na JWTZ wanaosimamia mradi huo mkubwa wa JKT wakiwa umbali wa zaidi ya mita mia mbili toka nchi kavu.

Taarifa toka eneo la tukio zinasema viongozi na maafisa hao wote wako salama na sasa wanarejeshwa nchi kavu.

Chanzo: ITV
 
Bila shaka walikuwa wamevaa life jackets. mita 200 kutoka ufukweni ni parefu kiasi.
 
Mimi ningekuwa katika timu ya uchunguzi ningeanza na dereva wa boti.Usikute walikodi boti ya mvuvi aliechomewa nyavu haramu akaamua kulipiza kisasi baada ya kwenda kwa zaidi ya mita 200.
 
Wengekufa tu, Wanatoka Rwamkoma kwenda Bunda eti kwenda kuwakamata Wavuvi haramu!

Vijana kila siku wanatafuta riziki zao humo Majini tena kihalali, sasa wao wanakurupuka kutoka Maofisini kwenda kukamata eti Wavuvi haramu huku wengi wao mkiwaonea na wengine kuwabambika Kesi za Kijinga! They should die! Nonsense!
 
Back
Top Bottom