KundiNyamvi
JF-Expert Member
- Jan 7, 2017
- 204
- 186
Kila kiongoz anataka kiki......Nchi ya kipumbavu sana hii....
Kila kiongoz anataka kiki......Nchi ya kipumbavu sana hii....
Awamu hii viongozi ni washamba flani na walevi wa madaraka hawajui tu duniani twapita yatupasa kutenda haki kwa wote na sio kuonea wengine. Huyo DC ni limbukeni na hapo anajiona kafika na hajui kuwa sio wote waanzao mbio humaliza, sasa angepata cheo kikubwa kuliko hicho ingekuwaje, tena hivi vyeo vingefutwa tu pamoja na vya u RC.Huyu bwana mdogo ni aina fulani ya vi.la.za waliofika hapo walipo kwa kujipendekeza CCM
Ni mdogo sana hajawahi hata kuwa kenge(monitor) wa darasa.
Hicho cheo kimemzidia sana sana sana!!Anapagawa na saluti na kunyenyekewa,hajui kuwa vyeo hivi ni vya kupita na kuna maisha baada ya hapa Arumeru.Walikuwepo kina Hawa Ngurume,toka Kinondoni mpaka Mbarali,wababe na wanazaba watu makofi,lkn leo wapo chini ya futi sita.
Nakumbuka huyu dogo alikuwa anasoma na vijana wangu pale Tegeta Secondary,tena ni ungaunga tu wa elimu na HKL yake,na alisoma kinafiki pale Tegeta shule ya Wazazi wa CCM....Namuonea huruma sana kwa laana anazochuma wakati angali kijana.
Bwana mdogo tenda wema,hujui kesho yako!!Madaraka ni ya kupita
Kinena ni Goomble mwenyeweHata wewe umeolewa,jisitiri.Tuliooa tunajua huwezi kumtofautisha DC wa Arumeru,RC wa Arusha na wa Dar.Fikiria nje ya sanduku lilofunika ubongo kama upo.
I feel u mkuu I feel uNchi ya kipumbavu sana hii....
Hama
Wamekosea nini mkuu?Wakikosea wanaadabishwa.sasa mulitakaje? Ebo...!!!?!
ARUMERU, ARUSHA: Waandishi Bahati Chume(Mwananchi) & Doreen Aloyce(Sunrise Radio) wakamatwa kwa amri ya DC - Wapo kituo cha Usa River.
=====
Taarifa kwa hisani ya JamiiForums Twitter;
Walikosea nini hao?Wakikosea wanaadabishwa.sasa mulitakaje? Ebo...!!!?!
Uzuri huwa hatuishi milele.Na cheo ni Dhamana.
Mhe gambo chapa kazi wanooshe sasa hivi arusha shwari .
Vizuri wanyooshwe huu si mwaka wa kuropoka.