Wakuu nadhani mtamkumbua yule mkuu wa wilaya huko bukoba aliyewachapa walimu kwa uzembe wa kuchelewa na kutofundishwa mwaka juzi.Huyu mweshimiwa nimemkumbuka sana,anafaa sana awepo bunge kwa sasa,wabunge wa CCM wamezidi kutetea pumba pamoja na kujivua gamba hamna kilichobadilika.Huyu jamaa angekuwepo jana watu wengi wangelamba viboko,ndio hicho tunachohitaji kwa sasa.Nchi ina rasilimali nyingi sana lakini hatusongi mbele.