Jidu La Mabambasi
JF-Expert Member
- Oct 20, 2014
- 15,387
- 24,361
Nimeona clip ya Mkuu wa Mkoa wa Tabora, Aggrey Mwanri, akicheza bao na kula gahawa kwa kashata na wananchi kijiweni huko Tabora.
Hii imenigusa, imenikumbusha viongozi tuliowahi kuwa nao miaka ya Mwalimu.
Uongozi si kujitenga na wananchi.
Big up Aggrey Mwanri na ujumbe wako wa Valentine.
Hii imenigusa, imenikumbusha viongozi tuliowahi kuwa nao miaka ya Mwalimu.
Uongozi si kujitenga na wananchi.
Big up Aggrey Mwanri na ujumbe wako wa Valentine.