Sir John Roberts
JF-Expert Member
- Mar 1, 2017
- 9,622
- 15,950
Haya ndio mambo kila siku Rais anasema. Linatokea tatizo viongozi mpo lakini mmekaa kimya. Leo tumeambiwa Tabora hakuna mafuta shughuli za kiuchumi zitafanyikaje?
Mkoa una maafisa kutoka kila sekta mpaka usalama wa Taifa kwanini wananchi wapate adha ya mafuta? Hili linataka kuwa donda ndugu kila ikikaribia jumatano ya mwanzo wa mwezi wafanyabiashara wanazuia huduma ya mafuta wanaoteseka ni wananchi.
Chukuweni hatua kama hamuwezi wacheni ofisi za umma watu wengine waziendeshe.
Nakuomba Mh. Naibu waziri mkuu na waziri wa nishati hili jipu uanze nalo hatuwezi kuendesha nchi kwa namna hii.
Mkoa una maafisa kutoka kila sekta mpaka usalama wa Taifa kwanini wananchi wapate adha ya mafuta? Hili linataka kuwa donda ndugu kila ikikaribia jumatano ya mwanzo wa mwezi wafanyabiashara wanazuia huduma ya mafuta wanaoteseka ni wananchi.
Chukuweni hatua kama hamuwezi wacheni ofisi za umma watu wengine waziendeshe.
Nakuomba Mh. Naibu waziri mkuu na waziri wa nishati hili jipu uanze nalo hatuwezi kuendesha nchi kwa namna hii.