Mkuu wa mkoa wa Morogoro, mshughulikie Dr. Nyagori kwa tuhuma hizi za vyeti feki

Kama mkuu wa mkoa wa Morogoro unamwakilisha Mhe. Magufuli, basi agiza vyeti vya mtu anayejiita Dr. Haruni Nyagori, ambaye amekuwa akitumia vyeti feki, na kujiita daktari bingwa wa moyo. Anapata mshahara mkubwa asiostahili. Kuna thread hapa chini na gazeti la Raia Mwema waweza zipitia.


Na hata gazeti la Raia Mwema lilishawahi kumuandika
Naomba nikuulize,huyo dr hakwenda darasani bali anatumia vyeti fake au ameenda darasani lakini kwa kutumia jina la mtu mwingine?
 
Naomba nikuulize,huyo dr hakwenda darasani bali anatumia vyeti fake au ameenda darasani lakini kwa kutumia jina la mtu mwingine?
Elimu yake inayotambulika na wale aliosoma nao ni Ordinary Diploma in Clinical Medicine
 
Mamlaka husika itakuwa ishapitia .... wacha aendelee kufanya kazi yake kwa amani
Kwa hiyo sehemu wanazodai vyeti sasa wanakosea? Amani ipi unayosema? Ya mgonjwa au ya huyu jamaa? Kampelekee ndugu yako akamtibu upate amani.
 
Nahic wanamcngzia tu...clinical officer awe cardiologist? Sema nayeye ajitokeze atueleze mahali alipopiga MD na MMED ni wapi?
 
Nahisi hizi kama fitna unajua tuwe makini na mtoa mada kwa kuwa inawezekana anatumia udhaifu au kasoro ya serikali ya kutumbua watu kwa kutumia tetesi badala ya kufanya uchunguzi kwa siri.
 
Inasemekana alifeli kidato cha nne; akatafuta cheti cha kumfaulisha; akaenda Ukraine akakaa miaka kama mitatu ndo akaja na cheti cha udaktari.

Ni mjasiriamali ambaye amefika alipo kwa kutapeli watu wengi yakiwemo maduka ya madawa huko Dar es Salaam na baadhi ya vifaa alivyonavyo kwenye hospitali zake. Anautapeli mwingi na hamwonei mtu huruma akiingia anga zake kama ana deal la kumfanyia utapeli wake ili ajipatie pesa. Ana mambo mengi yasiyofaa..

kwenye hii website Home page anajiita Professor...

kweli kuna haja ya kumwangali maana fani ya udaktari tena kujiita wa moyo inahitaji ujuzi husio na mashaka vinginevyo watanzania wenzetu wanawezakuwa wanapoteza maisha kupitia kwenye mikono hiyo hisiyo salama
 
Huyu ndio mwenye hospitali inaitwa Afya Medicare hapa Morogoro??
 
Back
Top Bottom