Mkuu wa Mkoa wa Dodoma afuta posho za vikao

Mkuu wa Mkoa wa Dodoma afuta posho za vikao

mkafrend

JF-Expert Member
Joined
May 12, 2014
Posts
3,045
Reaction score
1,503
WanaJF, Salaam!

Nilikuwa natazama chanzo kimoja cha televisheni mchana saa nane 18/12/2015 katika habari hiyo nimemsikia akitamka kwamba kuanzia sasa hataki kuona wala kusikia habari za ulipaji wa posho za vikao kwa watumishi.

Habari hii imenishtua kidogo kwa kuwa kimsingi fedha zinazotekeleza shughuli hizo zilishaidhinishwa na kuzitumia kwa kazi nyingine bila kibali cha Wizara ya Fedha kinatoa nafasi kwa CAG kutoridhishwa matumizi ya fedha hizo.

Aidha, binafsi nadhani kilichotakiwa kufanyika ni kuanza na maandalizi ya bajeti hii kwa Makatibu Wakuu wa Wizara kuainisha maeneo ambayo katika bajeti ijayo si lazima kuzingatiwa ili fedha zake zipelekwe kwenye miradi ya maendeleo au kwingineko panapostahili.

Najiuliza maswali mengi nikitilia mashaka ya baadhi ya viongozi kutomwelewa vizuri Mhe. JPM na kuanzisha vitu vitakavyoleta chuki miongoni mwa jamii hasa itakapotokea wana habari kuripoti juu ya matumizi yasiyo sahihi ya fedha za serikali kutokana na kubadilishiwa matumizi.

Tusikurupuke, tujuwe nn tunapaswa kukifanya na matokeo yake baadae

Ushauri tu!
 
Mmmh choggi. Mtu kila mbuzi atakula urefu wa kamba yake
 
Tutapata matamko mengi sana mpaka kufikia mwishoni mwa mwaka huu 2015.
 
WanaJF, Salaam!

Nilikuwa natazama chanzo kimoja cha televisheni mchana saa nane 18/12/2015 katika habari hiyo nimemsikia akitamka kwamba kuanzia sasa hataki kuona wala kusikia habari za ulipaji wa posho za vikao kwa watumishi.

Habari hii imenishtua kidogo kwa kuwa kimsingi fedha zinazotekeleza shughuli hizo zilishaidhinishwa na kuzitumia kwa kazi nyingine bila kibali cha Wizara ya Fedha kinatoa nafasi kwa CAG kutoridhishwa matumizi ya fedha hizo.

Aidha, binafsi nadhani kilichotakiwa kufanyika ni kuanza na maandalizi ya bajeti hii kwa Makatibu Wakuu wa Wizara kuainisha maeneo ambayo katika bajeti ijayo si lazima kuzingatiwa ili fedha zake zipelekwe kwenye miradi ya maendeleo au kwingineko panapostahili.

Najiuliza maswali mengi nikitilia mashaka ya baadhi ya viongozi kutomwelewa vizuri Mhe. JPM na kuanzisha vitu vitakavyoleta chuki miongoni mwa jamii hasa itakapotokea wana habari kuripoti juu ya matumizi yasiyo sahihi ya fedha za serikali kutokana na kubadilishiwa matumizi.

Tusikurupuke, tujuwe nn tunapaswa kukifanya na matokeo yake baadae

Ushauri tu!
Hapa swala si kutengwa kwa fedha katika bajeti bali ni je, kuna umuhimu na uhalali wa hizo posho? Tusitetee mitizamo ya kutumia fedha za umma eti kwa sababu tu zipo na zimetengwa katika bajeti.
 
Wangefuta na mishahara kabisa ili kukata mzizi wa fitna.watu wafanye kazi tu si ndio uzalendo huo.
 
WanaJF, Salaam!

Nilikuwa natazama chanzo kimoja cha televisheni mchana saa nane 18/12/2015 katika habari hiyo nimemsikia akitamka kwamba kuanzia sasa hataki kuona wala kusikia habari za ulipaji wa posho za vikao kwa watumishi.

Habari hii imenishtua kidogo kwa kuwa kimsingi fedha zinazotekeleza shughuli hizo zilishaidhinishwa na kuzitumia kwa kazi nyingine bila kibali cha Wizara ya Fedha kinatoa nafasi kwa CAG kutoridhishwa matumizi ya fedha hizo.

Aidha, binafsi nadhani kilichotakiwa kufanyika ni kuanza na maandalizi ya bajeti hii kwa Makatibu Wakuu wa Wizara kuainisha maeneo ambayo katika bajeti ijayo si lazima kuzingatiwa ili fedha zake zipelekwe kwenye miradi ya maendeleo au kwingineko panapostahili.

Najiuliza maswali mengi nikitilia mashaka ya baadhi ya viongozi kutomwelewa vizuri Mhe. JPM na kuanzisha vitu vitakavyoleta chuki miongoni mwa jamii hasa itakapotokea wana habari kuripoti juu ya matumizi yasiyo sahihi ya fedha za serikali kutokana na kubadilishiwa matumizi.

Tusikurupuke, tujuwe nn tunapaswa kukifanya na matokeo yake baadae

Ushauri tu!

Zitarudishwa hazina.
 
WanaJF, Salaam!

Nilikuwa natazama chanzo kimoja cha televisheni mchana saa nane 18/12/2015 katika habari hiyo nimemsikia akitamka kwamba kuanzia sasa hataki kuona wala kusikia habari za ulipaji wa posho za vikao kwa watumishi.

Habari hii imenishtua kidogo kwa kuwa kimsingi fedha zinazotekeleza shughuli hizo zilishaidhinishwa na kuzitumia kwa kazi nyingine bila kibali cha Wizara ya Fedha kinatoa nafasi kwa CAG kutoridhishwa matumizi ya fedha hizo.

Aidha, binafsi nadhani kilichotakiwa kufanyika ni kuanza na maandalizi ya bajeti hii kwa Makatibu Wakuu wa Wizara kuainisha maeneo ambayo katika bajeti ijayo si lazima kuzingatiwa ili fedha zake zipelekwe kwenye miradi ya maendeleo au kwingineko panapostahili.

Najiuliza maswali mengi nikitilia mashaka ya baadhi ya viongozi kutomwelewa vizuri Mhe. JPM na kuanzisha vitu vitakavyoleta chuki miongoni mwa jamii hasa itakapotokea wana habari kuripoti juu ya matumizi yasiyo sahihi ya fedha za serikali kutokana na kubadilishiwa matumizi.

Tusikurupuke, tujuwe nn tunapaswa kukifanya na matokeo yake baadae

Ushauri tu!
Pengine ungeanza kwa kujiulizahayo mamlaka anayo?
 
mbona mleta mada kama unamponda fulani hivi, posho la vikao zifyekwe zote kwani hakuna namna nyingine wamezidi kutunga vikao feki ili wale fedha
 
Hapa kama namuona CAG akiibua hoja kwa utaaamu
Mana fedha ambayo ipo kwenye bajeti na ni posho ya kikao afu auifanyie shughuli tofauti
Order ya kybatilisha matumizi ni Magu tu CAG ndo hatamgusa
 
Hata hizo za safari na sherehe za uhuru pia zilikuwa kwenye budget...CAG anaangalia "misappropriation of funds"..bilashaka mletamada ni muathirika wa utumbuzi wa majipu yaliyotesa sana nchi hii
 
Mkuu mbona hata safari za nje fedha zilitengwa lkn Magu kabadilisha gia angani sisi hatusemi? Kwann ww unasema kuhusu posho za vikao?
 
WanaJF, Salaam!

Nilikuwa natazama chanzo kimoja cha televisheni mchana saa nane 18/12/2015 katika habari hiyo nimemsikia akitamka kwamba kuanzia sasa hataki kuona wala kusikia habari za ulipaji wa posho za vikao kwa watumishi.

Habari hii imenishtua kidogo kwa kuwa kimsingi fedha zinazotekeleza shughuli hizo zilishaidhinishwa na kuzitumia kwa kazi nyingine bila kibali cha Wizara ya Fedha kinatoa nafasi kwa CAG kutoridhishwa matumizi ya fedha hizo.

Aidha, binafsi nadhani kilichotakiwa kufanyika ni kuanza na maandalizi ya bajeti hii kwa Makatibu Wakuu wa Wizara kuainisha maeneo ambayo katika bajeti ijayo si lazima kuzingatiwa ili fedha zake zipelekwe kwenye miradi ya maendeleo au kwingineko panapostahili.

Najiuliza maswali mengi nikitilia mashaka ya baadhi ya viongozi kutomwelewa vizuri Mhe. JPM na kuanzisha vitu vitakavyoleta chuki miongoni mwa jamii hasa itakapotokea wana habari kuripoti juu ya matumizi yasiyo sahihi ya fedha za serikali kutokana na kubadilishiwa matumizi.

Tusikurupuke, tujuwe nn tunapaswa kukifanya na matokeo yake baadae

Ushauri tu!
Hana mamlaka kisheria kakurupuka ksiasa
 
Back
Top Bottom