Credere Potest
JF-Expert Member
- Feb 26, 2016
- 217
- 298
Mbona unamsema makonda peke yake wakati kuna wabunge na madiwani pia
Hili zoezi la kupanda miti halina ''Mbinu'' kabisa. hivi wale tunaoishi nyumba za kupanga mijini hiyo miti tutupanda wapi? Dar ni chafu, wapiga debe wanaokera wapita njia kila kona, vijana wanaozurura bila kazi na kukaa vijiweni huku wamevaa kata K, barabara zinatumika isivyo biashara mpaka kuchoma mahindi kwenye njia za watembea kwa miguu zilizojengwa kwa gharama kubwa. mfano mzuri Mbezi beach eneo la Tangi Bovu hadi Africana! Viongozi wa mkoa, wilaya, tarafa, kata, mtaa wapo wanaona na hawafanyi lolote kuwadhibiti.Huyu kiongozi ameshindwa kabisa kua mbunifu juu ya suala la foleni za magari katika jiji la Dar es salaam.
Tukisema kua huu mkoa ni mkubwa mno sio size yake tunaambiwa ni majungu, lakini mpaka sasa jiji liko shaghala baghala, parking zimezakaa kila kona ya jiji hovyo hovyo, jiji halina pa kupumulia. Mwanzo alikuja vizuri na wazo la kurasimisha maeneo ya maegesho yote ya magari jijini na gereji zote lakini kwa sasa sijui kapewa nini na matajiri!
Dar es salaam ilikua ya Makamba bhana, Dar ilikua ya mzee Kandoro bhana.Hawa ndio viongozi walioacha alama katika jiji la Dar, walikua wabunifu na wachapa kazi na sio hawa wanasiasa wanaojisifia muda wote.Mtu unaacha vipaumbele vya jiji unakimbilia upandaji miti inaingia akilini kweli? Miti ndio kero za wananchi wa Dar?
Huyu ndugu yangu tukubali kua kachemsha sana, size yake ilikua wilaya na sio jjiji, ona hali halisi ilivyo.
Kazi kuwadhalilisha viongozi wenzie hadharani, alianza na Wilson Kabwe, jana kawananga Kamanda Sirro na Kaganda hadharani! Utafikiri yeye kazi yake ni kushitakia wenzie tu na sio kutekeleza maamuzi!Huyu kiongozi ameshindwa kabisa kua mbunifu juu ya suala la foleni za magari katika jiji la Dar es salaam.
Tukisema kua huu mkoa ni mkubwa mno sio size yake tunaambiwa ni majungu, lakini mpaka sasa jiji liko shaghala baghala, parking zimezakaa kila kona ya jiji hovyo hovyo, jiji halina pa kupumulia. Mwanzo alikuja vizuri na wazo la kurasimisha maeneo ya maegesho yote ya magari jijini na gereji zote lakini kwa sasa sijui kapewa nini na matajiri!
Dar es salaam ilikua ya Makamba bhana, Dar ilikua ya mzee Kandoro bhana.Hawa ndio viongozi walioacha alama katika jiji la Dar, walikua wabunifu na wachapa kazi na sio hawa wanasiasa wanaojisifia muda wote.Mtu unaacha vipaumbele vya jiji unakimbilia upandaji miti inaingia akilini kweli? Miti ndio kero za wananchi wa Dar?
Huyu ndugu yangu tukubali kua kachemsha sana, size yake ilikua wilaya na sio jjiji, ona hali halisi ilivyo.
Yule mkurugenzi, hakuwa na kosa?Alikua anajaribu kumtilia fitna sirro kama ilivyokua kwa mkurugenzi na akatumbuliwa kweli.
Dar es salaam ilikua ya Makamba bhana, Dar ilikua ya mzee Kandoro bhana
Habari ya ushoga iliishia wapi? Mbona shisha tuuu?Makonda anataka kupiga marufukuShisha bila ya kujali imewekwa Tumbaku au Bhangi hii ni sawa na kupiga Marufuku Matumizi ya Chupa za Maji ya kunywa kwa kuwa kuna watu huweka Gongo kwny Baadhi ya Chupa za Maji! Makonda anadhalilisha hadhi ya shahada zinazotolewa Chuo cha ushirika!
Habari ya ushoga iliishia wapi? Mbona shisha tuuu?
Kwa hiyo Mkuu wewe shida yako ni parking tu?Huyu kiongozi ameshindwa kabisa kua mbunifu juu ya suala la foleni za magari katika jiji la Dar es salaam.
Tukisema kua huu mkoa ni mkubwa mno sio size yake tunaambiwa ni majungu, lakini mpaka sasa jiji liko shaghala baghala, parking zimezakaa kila kona ya jiji hovyo hovyo, jiji halina pa kupumulia. Mwanzo alikuja vizuri na wazo la kurasimisha maeneo ya maegesho yote ya magari jijini na gereji zote lakini kwa sasa sijui kapewa nini na matajiri!
Dar es salaam ilikua ya Makamba bhana, Dar ilikua ya mzee Kandoro bhana.Hawa ndio viongozi walioacha alama katika jiji la Dar, walikua wabunifu na wachapa kazi na sio hawa wanasiasa wanaojisifia muda wote.Mtu unaacha vipaumbele vya jiji unakimbilia upandaji miti inaingia akilini kweli? Miti ndio kero za wananchi wa Dar?
Huyu ndugu yangu tukubali kua kachemsha sana, size yake ilikua wilaya na sio jjiji, ona hali halisi ilivyo.
Yeye kawa mkuu wa trafiki?Huyu kiongozi ameshindwa kabisa kua mbunifu juu ya suala la foleni za magari katika jiji la Dar es salaam.
Tukisema kua huu mkoa ni mkubwa mno sio size yake tunaambiwa ni majungu, lakini mpaka sasa jiji liko shaghala baghala, parking zimezakaa kila kona ya jiji hovyo hovyo, jiji halina pa kupumulia. Mwanzo alikuja vizuri na wazo la kurasimisha maeneo ya maegesho yote ya magari jijini na gereji zote lakini kwa sasa sijui kapewa nini na matajiri!
Dar es salaam ilikua ya Makamba bhana, Dar ilikua ya mzee Kandoro bhana.Hawa ndio viongozi walioacha alama katika jiji la Dar, walikua wabunifu na wachapa kazi na sio hawa wanasiasa wanaojisifia muda wote.Mtu unaacha vipaumbele vya jiji unakimbilia upandaji miti inaingia akilini kweli? Miti ndio kero za wananchi wa Dar?
Huyu ndugu yangu tukubali kua kachemsha sana, size yake ilikua wilaya na sio jjiji, ona hali halisi ilivyo.
sawa....aliongea az if hana uhakika....lakin kamanda hawez akaliacha hili lipite hivihivi....ngoja tuoneeUkianzisha vita na Police inabidi uwe umejiandaa kwelikweli na sina uhakika sana kama Makonda kajiandaa na fitna kama kamanda Sirro akiamua kuingia front na kupambana nae under the ground.
Nimeota (maono) Makonda watamhamisha Dar soon kwa usalama wake ila mkoa anaopelekwa bado sijaoteshwa badoUkianzisha vita na Police inabidi uwe umejiandaa kwelikweli na sina uhakika sana kama Makonda kajiandaa na fitna kama kamanda Sirro akiamua kuingia front na kupambana nae under the ground.
Huwezi kumsema sema Rpc kama wewe si mmoja wa Jamii hizo , nasikia mzee marehemu Spika mstaafu aliacha kamweka usalama mapema kabisa akiwa mwanachuo , na mimi sijui niisogeree family gani ya wakubwa walauEti siro anapokea rushwa, hivi anao ushahidi wa hilo, siro akimpeleka mahakamani itakuwaje?
Huyu kiongozi ameshindwa kabisa kua mbunifu juu ya suala la foleni za magari katika jiji la Dar es salaam.
Tukisema kua huu mkoa ni mkubwa mno sio size yake tunaambiwa ni majungu, lakini mpaka sasa jiji liko shaghala baghala, parking zimezakaa kila kona ya jiji hovyo hovyo, jiji halina pa kupumulia. Mwanzo alikuja vizuri na wazo la kurasimisha maeneo ya maegesho yote ya magari jijini na gereji zote lakini kwa sasa sijui kapewa nini na matajiri!
Dar es salaam ilikua ya Makamba bhana, Dar ilikua ya mzee Kandoro bhana.Hawa ndio viongozi walioacha alama katika jiji la Dar, walikua wabunifu na wachapa kazi na sio hawa wanasiasa wanaojisifia muda wote.Mtu unaacha vipaumbele vya jiji unakimbilia upandaji miti inaingia akilini kweli? Miti ndio kero za wananchi wa Dar?
Huyu ndugu yangu tukubali kua kachemsha sana, size yake ilikua wilaya na sio jjiji, ona hali halisi ilivyo.