Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam awajibishwe kwa hili!

MAHANJU

JF-Expert Member
Aug 26, 2014
5,244
7,966
Huyu kiongozi ameshindwa kabisa kua mbunifu juu ya suala la foleni za magari katika jiji la Dar es salaam.
Tukisema kua huu mkoa ni mkubwa mno sio size yake tunaambiwa ni majungu, lakini mpaka sasa jiji liko shaghala baghala, parking zimezakaa kila kona ya jiji hovyo hovyo, jiji halina pa kupumulia. Mwanzo alikuja vizuri na wazo la kurasimisha maeneo ya maegesho yote ya magari jijini na gereji zote lakini kwa sasa sijui kapewa nini na matajiri!


Dar es salaam ilikua ya Makamba bhana, Dar ilikua ya mzee Kandoro bhana.Hawa ndio viongozi walioacha alama katika jiji la Dar, walikua wabunifu na wachapa kazi na sio hawa wanasiasa wanaojisifia muda wote.Mtu unaacha vipaumbele vya jiji unakimbilia upandaji miti inaingia akilini kweli? Miti ndio kero za wananchi wa Dar?

Huyu ndugu yangu tukubali kua kachemsha sana, size yake ilikua wilaya na sio jjiji, ona hali halisi ilivyo.
 
Mkuu, kwani Dar hali ipoje sasa? Mie naona wanajitahidi sana kwa sasa. Foleni hakuna na wanajitahidi kuwa na bustani katikati ya barabara kuu
 
Hebu dadavua kinagaubaga kosa lake vizuri na mfano ili nimuattack vizuri.

Jana nimesikia amebwabwaja mbele ya PM akapewa makavu live, ila huo sio ushahidi mzuri. Mleta mada leta nondo.
 
Huyu kiongozi ameshindwa kabisa kua mbunifu juu ya suala la foleni za magari katika jiji la Dar es salaam.
Tukisema kua huu mkoa ni mkubwa mno sio size yake tunaambiwa ni majungu, lakini mpaka sasa jiji liko shaghala baghala, parking zimezakaa kila kona ya jiji hovyo hovyo, jiji halina pa kupumulia. Mwanzo alikuja vizuri na wazo la kurasimisha maeneo ya maegesho yote ya magari jijini na gereji zote lakini kwa sasa sijui kapewa nini na matajiri!


Dar es salaam ilikua ya Makamba bhana, Dar ilikua ya mzee Kandoro bhana.Hawa ndio viongozi walioacha alama katika jiji la Dar, walikua wabunifu na wachapa kazi na sio hawa wanasiasa wanaojisifia muda wote.Mtu unaacha vipaumbele vya jiji unakimbilia upandaji miti inaingia akilini kweli? Miti ndio kero za wananchi wa Dar?

Huyu ndugu yangu tukubali kua kachemsha sana, size yake ilikua wilaya na sio jjiji, ona hali halisi ilivyo.
milioni tano ..watu kumi walimfuata
 
Hebu dadavua kinagaubaga kosa lake vizuri na mfano ili nimuattack vizuri.

Jana nimesikia amebwabwaja mbele ya PM akapewa makavu live, ila huo sio ushahidi mzuri. Mleta mada leta nondo.

Alikua anajaribu kumtilia fitna sirro kama ilivyokua kwa mkurugenzi na akatumbuliwa kweli.
 
Huyu kiongozi ameshindwa kabisa kua mbunifu juu ya suala la foleni za magari katika jiji la Dar es salaam.
Tukisema kua huu mkoa ni mkubwa mno sio size yake tunaambiwa ni majungu, lakini mpaka sasa jiji liko shaghala baghala, parking zimezakaa kila kona ya jiji hovyo hovyo, jiji halina pa kupumulia. Mwanzo alikuja vizuri na wazo la kurasimisha maeneo ya maegesho yote ya magari jijini na gereji zote lakini kwa sasa sijui kapewa nini na matajiri!


Dar es salaam ilikua ya Makamba bhana, Dar ilikua ya mzee Kandoro bhana.Hawa ndio viongozi walioacha alama katika jiji la Dar, walikua wabunifu na wachapa kazi na sio hawa wanasiasa wanaojisifia muda wote.Mtu unaacha vipaumbele vya jiji unakimbilia upandaji miti inaingia akilini kweli? Miti ndio kero za wananchi wa Dar?

Huyu ndugu yangu tukubali kua kachemsha sana, size yake ilikua wilaya na sio jjiji, ona hali halisi ilivyo.
Toa pendekezo, au Makamba na Kandoro warudishwe??
 
Makonda bado anajifunza kazi, tatizo wamempa cheo kikukubwa kuliko uwezo wake...

Angeanzia kule rolya apate uzoefu kwanza..
 
Huyu kiongozi ameshindwa kabisa kua mbunifu juu ya suala la foleni za magari katika jiji la Dar es salaam.
Tukisema kua huu mkoa ni mkubwa mno sio size yake tunaambiwa ni majungu, lakini mpaka sasa jiji liko shaghala baghala, parking zimezakaa kila kona ya jiji hovyo hovyo, jiji halina pa kupumulia. Mwanzo alikuja vizuri na wazo la kurasimisha maeneo ya maegesho yote ya magari jijini na gereji zote lakini kwa sasa sijui kapewa nini na matajiri!


Dar es salaam ilikua ya Makamba bhana, Dar ilikua ya mzee Kandoro bhana.Hawa ndio viongozi walioacha alama katika jiji la Dar, walikua wabunifu na wachapa kazi na sio hawa wanasiasa wanaojisifia muda wote.Mtu unaacha vipaumbele vya jiji unakimbilia upandaji miti inaingia akilini kweli? Miti ndio kero za wananchi wa Dar?

Huyu ndugu yangu tukubali kua kachemsha sana, size yake ilikua wilaya na sio jjiji, ona hali halisi ilivyo.
Sio kila kitu cha kukosoa sema nini kifanyike ili kupunguza kero hapa siasa ondoa
 
Back
Top Bottom