Et eNdo maana watz mko nyuma kila kitu mbwa nyinyi, vyeti vya makonda vitawasadia nini? Unadhani vyeti vyake ndo vitataua matatizo yenu? Kama mna shda zenu mtakufa nazo tu pigeni kazi acheni makelele, mnavyopanua midomo kuhusu vyeti mtadhani mliambiwa hivyo vyeti vitabadilisha maisha yenu wapuuzi ndio maana mnadharaulika kila siku
Wewe ni mchonganishi tuKitendo kinachofanywa na mkuu wa mkoa wa dsm kulia kanisani ni ishara mbaya kwanza yeye ni mwanaume na kwa desturi ya wanaume ukiona analia ujue kafikwa shingoni anakaribia kuzama maji sasa najiuliza mkuu wetu wa mkoa kashikwa na nini? Kila anapolia huwa hatoi sababu ya kulia kunani lazima ajikaze kisabuni yeye ni baba na mlezi wa mkoa hapaswi kulialia ovyo hadharani mi nilisikia ana changamoto ya cheti chake kweli cheti yaan gamba ni karatasi lililochapishwa likulize daaah bora hata kama kingekuwa kimepotea tungesema ishu lakini napo hupaswi kulia saiz ukienda baraza unapata kingine sasa kinachomliza ni nini nashauri awe makini awe mwanaume wa kweli akabiliane na changamoto n bora yupo CCM maana prof lipumba alipigwa tanganyika jeki, Slaa alivunjwa mkono, Gwajima alisota rumande, Sumaye amenyang'anywa ardhi hayo yangempata yeye watu si aangejua kuna msiba kabisa ashauriwe vizuri
Daaah kweli kiswahili kigumu sana maneno yako nimeambulia patupu.sijaelewa ulichokiandika unamaanisha nini?Fanya sherehe usherekee machozi yake, mnakazi wananchi ya udaku haswa na wivu na chuki mbaya kama vile Mh. Makonda mnachotaka kimtokee kitawaongezea maisha mema mnayoishi. Masikini watabaki kuwa masikini, matapeli watabaki hivyo hivyo, wenye wivu ndio wataoia sababu wataona maisha yao hayajabadilika etc
Makonda oyeeeeeeeee
Anawachambua kama karanga
Kitendo kinachofanywa na mkuu wa mkoa wa dsm kulia kanisani ni ishara mbaya kwanza yeye ni mwanaume na kwa desturi ya wanaume ukiona analia ujue kafikwa shingoni anakaribia kuzama maji sasa najiuliza mkuu wetu wa mkoa kashikwa na nini? Kila anapolia huwa hatoi sababu ya kulia kunani lazima ajikaze kisabuni yeye ni baba na mlezi wa mkoa hapaswi kulialia ovyo hadharani mi nilisikia ana changamoto ya cheti chake kweli cheti yaan gamba ni karatasi lililochapishwa likulize daaah bora hata kama kingekuwa kimepotea tungesema ishu lakini napo hupaswi kulia saiz ukienda baraza unapata kingine sasa kinachomliza ni nini nashauri awe makini awe mwanaume wa kweli akabiliane na changamoto n bora yupo CCM maana prof lipumba alipigwa tanganyika jeki, Slaa alivunjwa mkono, Gwajima alisota rumande, Sumaye amenyang'anywa ardhi hayo yangempata yeye watu si aangejua kuna msiba kabisa ashauriwe vizuri
jirani unanichekeshaBasi kama kashidwa kuleta original mezani aweke basi hata photocopy
Fanya sherehe usherekee machozi yake, mnakazi wananchi ya udaku haswa na wivu na chuki mbaya kama vile Mh. Makonda mnachotaka kimtokee kitawaongezea maisha mema mnayoishi. Masikini watabaki kuwa masikini, matapeli watabaki hivyo hivyo, wenye wivu ndio wataoia sababu wataona maisha yao hayajabadilika etc
Makonda oyeeeeeeeee
Anawachambua kama karanga
Kwani kwenda kulia kanisani na kuonesha vyeti vyake kipi rahisi?Fanya sherehe usherekee machozi yake, mnakazi wananchi ya udaku haswa na wivu na chuki mbaya kama vile Mh. Makonda mnachotaka kimtokee kitawaongezea maisha mema mnayoishi. Masikini watabaki kuwa masikini, matapeli watabaki hivyo hivyo, wenye wivu ndio wataoia sababu wataona maisha yao hayajabadilika etc
Makonda oyeeeeeeeee
Anawachambua kama karanga
Bibie upo? tumia kichwa maka.. O use for matumizi mengine sawa.Ndo maana watz mko nyuma kila kitu mbwa nyinyi, vyeti vya makonda vitawasadia nini? Unadhani vyeti vyake ndo vitataua matatizo yenu? Kama mna shda zenu mtakufa nazo tu pigeni kazi acheni makelele, mnavyopanua midomo kuhusu vyeti mtadhani mliambiwa hivyo vyeti vitabadilisha maisha yenu wapuuzi ndio maana mnadharaulika kila siku