tandabui2021
JF-Expert Member
- Nov 5, 2021
- 3,120
- 5,362
Baada ya mtumishi mmoja kufundisha huu ya suala hilo la malango, Mungu anaweza kumtumia aliyezaliwa kwenye familia husika yeyote yule hata kama si wa kwanza kuzaliwa.
Kanuni za kiroho ni tofauti na mambo ya kimwili, tuone mfano:
Mungu humbariki yeyote atakaye jamani.
Kanuni za kiroho ni tofauti na mambo ya kimwili, tuone mfano:
- Essau na Jacob
- Reuben hakuchaguliwa
- Daudi alikuwa ni mdogo kuliko wote akachaguliwa kwenye nyumba ya Yese.
Mungu humbariki yeyote atakaye jamani.