BASIASI
JF-Expert Member
- Sep 20, 2010
- 9,735
- 5,003
Pengine turudi na usemi usicheke msiba wa mwenzio nimesoma gazeti moja leo la tanzania daima linasema rc njombe aibiwa.
Ukisoma kwa ndani utaona ameshangaa kuibiwa majuzi akiwa mkuu wa mkoa na akiwa na ulinzi
wakati amekuwa mkuu wa wilaya muda mwingi bila kuwa na ulinzi akuibiwa
anyway pole san mkuu hao ndio walinzi wenu kwanza nimesikitika kusoma unahisi walinzi wa kampuni ya ulinzi sikuhiy ndio wahusika najiuliza mkuu wa mkoa analindwaje na ulinzi wa kampuni wakati washenzi wachache pale masaki wanalindwa na polisi tena wengine wakurugenzi wa kampuni
.siitaji kulalamika kwa hili alichoniacha hoi alisema anauhakika watakuwa wamehusika walinzi maana tangu aingie wakati mwingine usiku amekuwa akikuta wanaingia lte na wengine wanashinda kwenye pombe
sasa nimejiuliza kama alikuwa anajaua wanashinda kwenye pombe iweje amekaa kimya mpaka aibiwe ndio analalamika walikuwa wanashinda kwenye pombe........,
Ukisoma kwa ndani utaona ameshangaa kuibiwa majuzi akiwa mkuu wa mkoa na akiwa na ulinzi
wakati amekuwa mkuu wa wilaya muda mwingi bila kuwa na ulinzi akuibiwa
anyway pole san mkuu hao ndio walinzi wenu kwanza nimesikitika kusoma unahisi walinzi wa kampuni ya ulinzi sikuhiy ndio wahusika najiuliza mkuu wa mkoa analindwaje na ulinzi wa kampuni wakati washenzi wachache pale masaki wanalindwa na polisi tena wengine wakurugenzi wa kampuni
.siitaji kulalamika kwa hili alichoniacha hoi alisema anauhakika watakuwa wamehusika walinzi maana tangu aingie wakati mwingine usiku amekuwa akikuta wanaingia lte na wengine wanashinda kwenye pombe
sasa nimejiuliza kama alikuwa anajaua wanashinda kwenye pombe iweje amekaa kimya mpaka aibiwe ndio analalamika walikuwa wanashinda kwenye pombe........,