Mwalufunamba
JF-Expert Member
- Jun 12, 2012
- 211
- 129
Cha kustaajabisha zaidi Mkuu huyo wa Mkoa Asseri Msangi Ni Kapteni wa Jeshi La Wananchi Mstaafu..!
Kwa kawaida chenye thamani hulindwa. POLISI, CCM na Wananchi wamegundua hawana thamani. Ni makada waliochoka wenye kutafuta posho kupitia vyeo. MaRC na MaDC, wapo kwa jeuri ya CCM, wawepo wasiwepo Mkoa hauteleki.
Muulize Msangi ni mipango ya ofisi yake kwa Mkoa wa Njombe kwa miaka mitatu kama utapata.