Labda ile ban ya safari za nje inahusu.Wakuu kwa upande wa Kenya naona Makamo wa Raisi wa Kenya kaisha tua New york, huku kwetu vipi? Au hatuendi?
Ama kweli!!!Hiyo mikutano tangu ianze inamanufaa gani kwa taifa lako zaidi ya hotuba?
Amka ulipo lalaHiyo mikutano tangu ianze inamanufaa gani kwa taifa lako zaidi ya hotuba?
HaaaaaAnaejua kiingereza awamu hii atasafiri sana
Kaa na familia yako kama ndiyo uwezo wako wa kufikiriHiyo mikutano tangu ianze inamanufaa gani kwa taifa lako zaidi ya hotuba?
mbukwenyi" inaonesha unamengi sana juu ya athari za safari. pole bwana kama na wewe umo.Mimi nawaonea huruma hawa wafuatao
Usalama wa taifa kitengo cha usafiri
Maofisa wa makampuni ya serikali
Khaswa wizara ya mambo ya nje
Wizara ya fedha
Shirika la ndege Emirates
Ma travel agents wa New York Na madereva wa malimo huko NY
pamoja Na michepuko yao.
mbukwenyi" inaonesha unamengi sana juu ya athari za safari. pole bwana kama na wewe umo.