HabariChademamara
Senior Member
- Apr 6, 2015
- 113
- 91
- Thread starter
- #21
Huyu jamaa ni kiongozi wa Chadema Zanzibar lakini kila kukicha kiguu na njia Tanganyika.
Huko Zanzibar wanampuuza tu bor ajitafutie riziki yake Tanganyika.
UKAWA wanempa jimbo Zanzibar lakini hata siku moja hajawahi kufanya mkutano kwenye ilo jimbo, huu ni msiba.
Huyu jamaa ni kiongozi wa Chadema Zanzibar lakini kila kukicha kiguu na njia Tanganyika.
Huko Zanzibar wanampuuza tu bor ajitafutie riziki yake Tanganyika.
UKAWA wanempa jimbo Zanzibar lakini hata siku moja hajawahi kufanya mkutano kwenye ilo jimbo, huu ni msiba.
Mimi ni Mtanzania UKAWA inanihusu sababu wanakula kodi yangu ruzuku.
zito yuko wapi wewe uvccm?
Hovyo, eti huyu naye ana kichwa
Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Salum Mwalimu akiwa jukuwani muda huu.
Hata jk haoni ndani kwa mwalimu
Huyu jamaa ni kiongozi wa Chadema Zanzibar lakini kila kukicha kiguu na njia Tanganyika.
Huko Zanzibar wanampuuza tu bor ajitafutie riziki yake Tanganyika.
UKAWA wanempa jimbo Zanzibar lakini hata siku moja hajawahi kufanya mkutano kwenye ilo jimbo, huu ni msiba.
akosee Chadema maumivu asikie CCM.Huu mwaka kweli mgumu.CCM mwaka huu tunajipigiaHuyu jamaa ni kiongozi wa Chadema Zanzibar lakini kila kukicha kiguu na njia Tanganyika.
Huko Zanzibar wanampuuza tu bor ajitafutie riziki yake Tanganyika.
UKAWA wanempa jimbo Zanzibar lakini hata siku moja hajawahi kufanya mkutano kwenye ilo jimbo, huu ni msiba.
Ninavyo viwili najua kuna kimoja unakipenda.Hovyo, eti huyu naye ana kichwa