Tindo
JF-Expert Member
- Sep 28, 2011
- 59,003
- 103,391
Wagombea wa CCM wakipitishwa bila kupingwa watakipata wanachokitafuta.
Alizungumza chochote kuhusu tume huru ya uchaguzi na katiba mpya?
Wagombea wa CCM wakipitishwa bila kupingwa watakipata wanachokitafuta.
Halafu utasikia haturuhusiwi kufanya mikutano ya siasa Elice Elly,
Sent using Jamii Forums mobile app
Elice Elly,
Akienda bungeni akaulize pia pesa za rudhuku za chadema kuhodhiwana mbowe pekee wakati ni kodi yetu je nihalali?
Mungu akubariki kabisa mkuuPamoja na shukrani kwa Mungu mkutano kufanyika nnaitaka serikali ijifunze kitu "Haki haizuiliwi kwa nguvu ya dola" bali ijue wananchi wanatambua haki zao hasa za kijamii.
kama ule uko nao wewe
kwa mtu yeyote mwenye akili tiamammu akitamka au kuambiwa kitu ni bure lazima aulize bure kuanzia wapi hadi wapi? huwezisema elimu bure wakti hata nauli wanalipishwa, hata uji hawapewi? sema elimu bila ada maana cha bure pale ni ada basiInahitajika nguvu ya pekee sana kuaminisha umma kuwa upinzani umekufa. Wananchi wa Iringa mjini wamejitokeza kwa wingi Sana kumsikiliza Mbunge wao Mh. Peter Msigwa.
Tofauti na matarajio ya wengi,na pamoja na mvua kunyesha wananchi walimwambia Mbunge wao aendelee kuhutubia kwani wao hawapo tayari kukimbia mvua.
Wananchi wa Iringa mjini wamemtuma Mbunge wao akaulize bungeni maswali kadhaa yanayowatatiza. Wamemtuma akaulize:-
(1) Serikali imesema matibabu kwa mama mjamzito na mtoto chini ya miaka mitano ni bure, mbona wakienda Hospitali wanatozwa hela?
(2) Serikali inasema elimu kwa Shule za msingi ni bure, mbona wanalazimishwa kulipia baadhi ya ikiwa pamoja na fomu za kujiunga?
Kwa hali ya mkutano wa leo inahitajika nguvu ya pekee sana kuamini kuwa Upinzani umekufa.
View attachment 1313447View attachment 1313450View attachment 1313451View attachment 1313452
Sent using Jamii Forums mobile app
Ule wa kwangu imekwenda shulekama ule uko nao wewe
Bangi mbaya sana!! Hii ndio unaita nyomi!Inahitajika nguvu ya pekee sana kuaminisha umma kuwa upinzani umekufa. Wananchi wa Iringa mjini wamejitokeza kwa wingi Sana kumsikiliza Mbunge wao Mh. Peter Msigwa.
Tofauti na matarajio ya wengi,na pamoja na mvua kunyesha wananchi walimwambia Mbunge wao aendelee kuhutubia kwani wao hawapo tayari kukimbia mvua.
Wananchi wa Iringa mjini wamemtuma Mbunge wao akaulize bungeni maswali kadhaa yanayowatatiza. Wamemtuma akaulize:-
(1) Serikali imesema matibabu kwa mama mjamzito na mtoto chini ya miaka mitano ni bure, mbona wakienda Hospitali wanatozwa hela?
(2) Serikali inasema elimu kwa Shule za msingi ni bure, mbona wanalazimishwa kulipia baadhi ya ikiwa pamoja na fomu za kujiunga?
Kwa hali ya mkutano wa leo inahitajika nguvu ya pekee sana kuamini kuwa Upinzani umekufa.
View attachment 1313447View attachment 1313450View attachment 1313451View attachment 1313452
Sent using Jamii Forums mobile app
Tupo tayari tukose huduma lakini tumchague mpinzani tunayemtaka, kwa kulijua hili kiwa hatutaletewa huduma, tutajihudumia kwa kuchangishana,ndiyo mtakoma sasa endeleeni na wapinzani wenu
Ni kweli bangi mbaya sana hasa pale unapovuta mpaka unashindwa kuona
Ni kweli bangi mbaya sana hasa pale unapovuta mpaka unashindwa kuonaTupo tayari tukose huduma lakini tumchague mpinzani tunayemtaka, kwa kulijua hili kiwa hatutaletewa huduma, tutajihudumia kwa kuchangishana,
Tutayaendeleza majimbo yetu kuliko Yale ya maccm mpaka tutakapopata Uhuru kamili
Wewe na hao wenzako endeleeni kuota ndoto za mchana wa jua kali.Usije ukasahau 2015 mimi nilikuwa ccm sasa kuna mamilioni kama mimi tunapiga kampeni chini kwa chini na tunaijua ccm vizuri
Mwisho wenu umefika.
Hayo maneno hata wana KANU walikuwa wanayasema sana leo hii wamekuwa wapolee huku wakikimbizana na ugali ambao umekuwa ni shida kuuweka mezaniWewe na hao wenzako endeleeni kuota ndoto za mchana wa jua kali.
Tatizo lenu siasa zenu ni za nyuma ya keyboard mpo mbali sana na reality kwa maana ya siasa halisi za huko Tanzania kwenyewe.Hayo maneno hata wana KANU walikuwa wanayasema sana leo hii wamekuwa wapolee huku wakikimbizana na ugali ambao umekuwa ni shida kuuweka mezani
Amefanya mkutano kwenye hii nchi ya kidikteta na hajazuiliwa kwa ambush?Inahitajika nguvu ya pekee sana kuaminisha umma kuwa upinzani umekufa. Wananchi wa Iringa mjini wamejitokeza kwa wingi Sana kumsikiliza Mbunge wao Mh. Peter Msigwa.
Tofauti na matarajio ya wengi,na pamoja na mvua kunyesha wananchi walimwambia Mbunge wao aendelee kuhutubia kwani wao hawapo tayari kukimbia mvua.
Wananchi wa Iringa mjini wamemtuma Mbunge wao akaulize bungeni maswali kadhaa yanayowatatiza. Wamemtuma akaulize:-
(1) Serikali imesema matibabu kwa mama mjamzito na mtoto chini ya miaka mitano ni bure, mbona wakienda Hospitali wanatozwa hela?
(2) Serikali inasema elimu kwa Shule za msingi ni bure, mbona wanalazimishwa kulipia baadhi ya ikiwa pamoja na fomu za kujiunga?
Kwa hali ya mkutano wa leo inahitajika nguvu ya pekee sana kuamini kuwa Upinzani umekufa.
View attachment 1313447View attachment 1313450View attachment 1313451View attachment 1313452
Sent using Jamii Forums mobile app
Reality ya kuwa wagombea wa upinzani hawajui kuandika majina yao ila waccm ndio wanajua.Tatizo lenu siasa zenu ni za nyuma ya keyboard mpo mbali sana na reality kwa maana ya siasa halisi za huko Tanzania kwenyewe.
Reality ya kulalamika wakati JPM anapiga kazi, reality ya kukubali kuwa wanaharakati wa kudumu wakati JPM anaendelea kuijenga reli ya kisasa,Reality ya kuwa wagombea wa upinzani hawajui kuandika majina yao ila waccm ndio wanajua.
Reality ya kulalamika wakati JPM anapiga kazi, reality ya kukubali kuwa wanaharakati wa kudumu wakati JPM anaendelea kuijenga reli ya kisasa,
Ukipita pale karibu na taa za kituo cha mwendokasi gerezani unaona kinachoendelea.