johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,840
- 141,765
Wananchi wa Iringa Mjini wamemtaka mchungaji Msigwa ahakikishe Makamu mwenyekiti Tundu Lissu anafika Iringa haraka iwezekanavyo kwa mkutano wa hadhara.
Wakizungumza maeneo ya Kitanzini Wanyalu hao wamesema Siasa za Iringa zimepooza sana na unahitajika uamsho wa haraka.
Wakizungumza maeneo ya Kitanzini Wanyalu hao wamesema Siasa za Iringa zimepooza sana na unahitajika uamsho wa haraka.