1:17 "Nikasema jamani, mswahili uongo, hachoki". Kikwete bonge la simpleton.
Rais mzima anawatukana watu wake hivi hivi, halafu hapo hapo anawaomba kura.
Anavyosema "Mswahili uongo hachoki" ina maana yeye naye yumo katika waswahili hao? Au yeye mzungu ?
Hivi nchi yetu ikoje ?
1:17 "Nikasema jamani, mswahili uongo, hachoki". Kikwete bonge la simpleton.
Rais mzima anawatukana watu wake hivi hivi, halafu hapo hapo anawaomba kura.
Anavyosema "Mswahili uongo hachoki" ina maana yeye naye yumo katika waswahili hao? Au yeye mzungu ?
Hivi nchi yetu ikoje ?
bila ya maneno ya aina hiyo unafikiri atapata kura vipi?
hapo anazungumza lugha ambayo ni rahisi kueleweka na wananchi na ambayo pia wananchi wanataka kuisikia.
mgombea anaezungumza 'nambari' tu na maneno magumu ya kitaaluma hapati kura Tanzania
Ahadi kafikisha ngapi mpaka saa hizi?1:17 "Nikasema jamani, mswahili uongo, hachoki". Kikwete bonge la simpleton.
Rais mzima anawatukana watu wake hivi hivi, halafu hapo hapo anawaomba kura.
Anavyosema "Mswahili uongo hachoki" ina maana yeye naye yumo katika waswahili hao? Au yeye mzungu ?
Hivi nchi yetu ikoje ?
Halafu yupo katika kampeni za kuomba kura hapo, na watu watampa kura zao. Hatuthamini kauli, ndiyo maana anaona hata akitupa ahadi ambazo hazitekelezeki poa tu, si anaweza hata kututukana bila consequences, itakuwa ahadi tu ? Tena mtu mwenyewe huu ndio uchaguzi wake wa mwisho.
Na Miswahili tulivyo, tar 31 Oct 2010 tutampa kura ha ha ha
Kisa ni wakazi wa Kigamboni kuambiwa mpango mji unataka kubomoa nyumba zao.
Fuatilia kwenye video hii
http://www.youtube.com/v/UaviGdsJJN...&feature=player_embedded&fs=1"></param><param