Mkutano wa Dr Slaa Iringa mjini

Mkutano wa Dr Slaa Iringa mjini

Dazzle

JF-Expert Member
Joined
Dec 26, 2013
Posts
214
Reaction score
56
Jioni hii nitakuwa nawaletea matukio ya mkutano wa Dr Slaa hapa iringa mjini.
 

Attachments

  • 1413724097110.jpg
    1413724097110.jpg
    42.1 KB · Views: 2,912
  • 1413724122301.jpg
    1413724122301.jpg
    42.7 KB · Views: 3,493
  • 1413724148868.jpg
    1413724148868.jpg
    48.6 KB · Views: 3,527
Dr Slaa ndio anaingia akiwa ametanguliwa na mwenyeji wake Mh Peter Msigwa akiwa na Prof Safari.Mara tu walipoingia na kupanda jukwaanj ghafla umeme umekatika
 
Go go go go go goooo Dr Slaa,watz tupo nyuma yako
 
Dr Slaa ni raisi wa Watanzania, ccm ni kundi ya magaidi.
u
Pamoja na hujuma zote ambazo serikali ya magaidi inafanya kwa CDM, lakini mioyo ya watanzania ina matumaini makubwa na cDM.

Angalia uwanja umejaa wananchi wa Iringa mjini tu, wakati mafirauni wakifanya mikutano yao wanasomba watu mkoa mzima kwa malori, na bado wanajazia wanafunzi wanaolazimishwa kwa sheria ya nidhamu.


Ingekuwa mkutano wa ccm ungejaa watu wenye sare za ccm ama za shule.
ia
Lakini Dr/raisi wa Watanzania, watu wanakwenda bila peer pressure!. Watanzania hao wamejaa kwa ridhaa zao bila nguvu yoyote ya lazima!.

Mungu Ibariki Tanzania, Mungu Kibariki Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA)

Tanzania Oyeeeeeeeeeeee!, CHADEMA Oyeeeeeeeeeeeeeeee!, Peoplessssssssssssssssssssss!.
 
Sasa mkutano ndio unaanza rasmi.
 
Professor Safari ndo amepanda jukwaani na ndio ananguruma.
 
Hapo hakuna kusomba watu na malori. ..wala kugawa kanga, t-shirts na kofia...Magamba iringa hawana chao....
 
Ameenda kutafuta mwingine kama jose au anaishu gani make siasa mzee zimemshinda anaongea mishipa yote mpaka ya tumbo na shingo imesimama.
 
Mkuu Dazzle

Pamoja nakuleta picha, nijambo lamsingi kabisa kushusha hapa jukwaani kinachoongelewa yaani ujumbe na hotuba.

Picha peke yake hazitosherezi, ujumbe nimuhimu sana hivyo dondoo ni moja ya hamasa katika uzi.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom