Mkutano wa CHADEMA viwanja vya NMC Arusha

CDM inapaswa kuachana na Arusha sasa... Arusha kimeshaeleweka siku nyingi! kwa ninavyoijua arusha ccm hata waende mbinguni hawawezi kuchukua arusha! Nguvu nyingi zipelekwe Tabora, Dodoma na sehemu zingine ambapo inaonekana wananchi bado wamelala.. nadhani kina nanyaro, Ben, zitto na wengineo mnaelewa nasema nini, kuna sehemu zinahitaji uamsho na sio arusha, mbeya au mwanza
 

2po wengi arusha,sio lazima mimi kila kitu.
 

Azimio la Arusha, tunakomba vidagaa vyote.
 
Hukusikia Geita, Mwanza, Mbeya...Subiri mambo yakiiva tutatua hapo Dar mpaka Kikwete anajivua gamba...

Kila siku Arusha tu Makamanda jaribuni kujitanua kitaifa zaidi kuliko kikanda.

Lini tutasikia Chadema wameweka kambi maeneo mengine kama.

Kilwa.
liwale.
Ruangwa.
Nachingwea.
Newala.
Nanyumbu.
Tandahimba.
Ngara.
Karagwe.
Muleba.
Kyerwa.
 
Arusha Mambo itatangaza moja kwa moja [Live] mkutano huo kutoka Arusha, visit www.arushamambo.com kisha click "Sikiliza Arusha Mambo FM......" page ya tunein ikifunguka click LIKE ili kusikiliza,

Source: Arusha Mambo
 
Jamani twendeni lindi,mtwara,tanga,tabora,unguja sii kila siku arusha.arushwa wameshaelewa maana ya m4c!
Strategies za kivita, kama huwezi kuteka nchi nzima kwa mara moja teka sehemu muhimu kabla ya kuelekea kumiliki mapori, usije kuwa na tamaa na kuondoka kabla ya kujiweka sawa utaikosa miji yote.
 
Kila siku Arusha tu Makamanda jaribuni kujitanua kitafa zaidi kuliko kikanda.

Lini tutasikia Chadema wameweka kambi maeneo mengine kama.

Kilwa.
liwale.
Ruangwa.
Nachingwea.
Newala.
Nanyumbu.
Tandahimba.
Ngara.
Karagwe.
Muleba.
Kyerwa.

Mkuu ritz,
Ni lini tutasikia na CCM imepiga kambi Arusha, Mbeya, Mwanza na maeneo hayo uliyoyataja?

 
Last edited by a moderator:
Kiherehere cha kuanzisha thread. Angalia heading na ulichoandika.
 
Pamoja sana MAKAMANDA kwa A-town sina shaka kabisaa najua ntapata updates za kila kitu mwanzo mwisho.
 
Operation vua gamba vaa gwanda nadhani ndiyo itayoitokomeza CCMkanda ya kaskazini.
 
nasikia James Millya ameachana na uamuzi wake wa kuhamia CDM na amekiomba radhi chama chake cha CCM. na hii ni baada ya Nanyaro kumwambia atakaa benchi kwa muda usiopungua miaka 5 bila hata cheo cha m/kiti wa kata CDM.

Mwendo mdundo mpaka Ritz avue gamba. Na uhakika atavua tu. Kiguu ndio mwepesi sana huyu, anahitaji kuelimishwa kidogo tu.
 
Pamoja sana Makamanda lakini mbona kila siku Arusha tu Tanzania kubwa.

Nimependa sana Mchango wako leo.... Coverage ya Arusha ni kubwa.. Ndiyo maana inaoneka M4C ipo kule tu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…