BHULULU
JF-Expert Member
- Jun 28, 2012
- 4,989
- 2,013
hahah labda alikuwa anawaza VISHETI, si unajaua wazee wavitumbua.
View attachment 90718
Hawa jamaa kwa vitumbua hawajambo.Kuna vile vya kule Nzega vya Kigwa.Vilikuwa vya mayai.Cheza na magamba.
hahah labda alikuwa anawaza VISHETI, si unajaua wazee wavitumbua.
View attachment 90718
Kamanda mkutano unaanza saa ngapi tujulishane ilituweze kusogea hapo.
Top to bottom management style. Ndio safari ya kuelekea huko pembezoni hiyo.Chadema sasa wanapaswa kuwa wanafanya mikutano yao pembezoni mwa mji zaidi. Ni strategy nzuri.
tulianza na MUNGU na tutamaliza na MUNGU
Nipo dodoma hapa,viongozi hawajafanya hamasa,sioni matangazo mjini,watu wanaipenda CDM lakini awareness haipo na mkutano upo nje ya mji
Ni kweli jina la Mungu likitajwa tajwa waovu wanaumia sana.Acheni kutajataja Mungu magaidi nyie
nyerere hakuwa cdm
Acha kumshirikisha Mungu na Chama cha kigaidi.
a Sued Kubenea mhariri wa gazeti lililokuwa likiitwaga Mwanahalisi ndio aliemkabidhi Mabere Marando simu mbalimbali za watu wanaowasiliana na viongozi....Kubenea katika kumpa simu hizo alikosea badala ya kuweka simu ya Jack Zoka akawekaya Zitto kabwe jambo ambalo limesababisha ugomvi mkubwa kati ya Zitto na Marando
Hata hivyo haijajulikana has nani anaempa Kubenea jeuri ya kuendelea kufatilia simu za watu mpaka leo pamoja na kuwa hata gazeti lake lilifungiwa kwa makosa hayo hayo
Kimsingi pia huu ni aina ya ugaidi wa mawasiliano ya watu unaofanyika
magamba hayatambui hilo wanafkiri hiki ni chama cha dar kama vilivyo vya kina dovutwa