Maji jamani chonde chonde Mnyika Huku mitaa ya Kinzudi Hali ni mbaya sana utawaonea wananchi wako huruma kabisa jinsi anavyohangaika Usiku kucha.
Katika changamoto kubwa uliyonayo ni maji na kwa hili unakazi ya kujibu, barabara za jimbo la Ubungo ni mbovu sana hakuna cha maana kinachoendelea!
jafari kafanya kama mtaa wa kwake huu mwaka wa 15 kama sikosei,wamekula mamilioni ya tanki la maji eneo la golani,kajenga tanuri la kuchomea takataka zahanati ya msewe kwa mil 7 wakati ni kama banda la mbwa thamani halisi halifiki hata milioni 1,atoke tuubungo msewe kuna kijamaa kimoja cha ccm kinaitwa jafari, kila mara anachukua uongozi wa serikali ya mtaa, jamaa anapenda rushwa ni balaa, muongo! kuna makada wa ccm akina mama hatia ni wachawi! yaani msewe ni balaa!
Nenda kalalamikie serekali yako ya magamba inayokusanya kodi ...maana magamba wanazuia maji ubungo ili mnyika aonekane hafai...lakini kwa hilo magamba mmeula wa chuya..maana mnyika amelipigia kelele tatozo la maji ubungo. Ila kwa vile magamba yanalitaka jombo la ubungo yanamkwamisha mnyika.
..ulitaka Mnyika alete maji kwa pesa ipi?,au ajenge barabara kwa fungu lipi?, au aweke polisi kwa ajili ya ulinzi. Ni vyema kufahamu majukumu ya Mbunge, Mnyika ametekeleza majukumu yake kwa ufasaha kabisa. Jitokeze tar 14.,mimi nafanya mazoezi ya kuwatwanga CCM tar 14.
ni kazi ya serikali ya ccm, wana kazi kujitetea
Mwongo jana maji yametiririka mpaka usiku,hata hivyo spingi kuwa ubungo hakuna uhaba wa maji.Kete ya maji inawabeba UKAWA Kama huamini waulize wagombea wa CCM.
Haya ndio yamefanya Magufuli atumie polisi kuzuia demokrasia![]()
Mkutano wa chadema ubungo msewe sasa hivi,yupo mnyika na Tundu Lissu na Mabere Marando watu wametoroka makazini kwao na biashara zimesimama msewe nzima, ila Mnyika kazi anayo kwani maji hayajatoka wiki ya pili sasa