maji maji ndio ishu kosa lake alimuita kikwete daifu so kikwete kaamua kumuonyesha yaani huku watu tunavunda ndoo 1000,
haiondoi ukweli! kikwete ni dhaifu tu! kwani mbona sehemu nyingi za jiji maji ni shida na wao walimwitaje kikwete?
maji maji ndio ishu kosa lake alimuita kikwete daifu so kikwete kaamua kumuonyesha yaani huku watu tunavunda ndoo 1000,
kama hujaoga uchafu wako ulitaka Mnyika aje akuogesheHivi Mnyika anajua wana ubungo tunaelekea mwezi wa pili sasa hatujaoga kwa kukosa maji?
ubungo mnyika hawezi kuondoka ccm mtahangaika sanaMaji Ubungo hayawezi kutoka mpaka Mnyika aondoke
kama umechimba kisima chako unaoga masaa 24,kibangu,msewe ,maziwa ,kisiwani,NHC napaelewa vizuri unidanganyi
kazi ya ccm ni kuiba pesa za umma kama hizo pesa za escrow zingeweza kuchimba visima vya maji mikoa yote tanzania bado ingeisha bado unakuta mtu anaitetea ccmni kazi ya serikali ya ccm, wana kazi kujitetea
maziwa ndo wapi mkuuKisima iko nachimbia wapi Nina bomba la dawasco na nipo hapa Maziwa
maziwa ndo wapi mkuu
Hivi Mnyika anajua wana ubungo tunaelekea mwezi wa pili sasa hatujaoga kwa kukosa maji?
Wasiokaa Ubungo utawajua tu! Leo maji yametoka na juma lililopita maji yalitoka.
Anyway kete ya uhaba wa maji imewapa advantage CDM. Kama umehudhuri mikutano ya UKAWA Ubungo ambayo Boniface alikuwa anaiongoza ameweza kupanga hoja vizuri na zimeeleweka vizuri.Kuna uwezekano mkubwa UKAWA Kubeba mitaa yote mitano
kama wabunge wote wangesimama kwa pamoja wakatatua matatizo ya kitaifa, mambo mengine yote ya kimkoa, wilaya na majimbo yatakuwa solved. Hakutakuwa na mikataba mibovu, escrow, EPA na kuwaleta ikulu watu wenye akili kama ya prof. tezi dume.mnyika namkubali kwenye ishu za kitaifa ila huwa anajisahau kama kura zake zinatoka ubungo,anakuwa kama mbunge wa taifa vile ,anaangalia maslahi ya watanzania wote wakati nyumbani kunaungua,inabidi abadilike angalia mwenzake nassari kila siku yupo jimboni iwe misiba au harusi ,michezo kazi za jamii yuko na wapiga kura,mbona slaa alitafuta wafadhili karatu wakachimba visima bila msaada wa serikali
Mimi nakaa riverside hakuna maji kabisa
Mimi nakaa riverside hakuna maji kabisa
Mimi nakaa riverside hakuna maji kabisa