Oooouuupsss..... yako wapi yale mapanya yanayodai ati Mnyika Kachokwa huko Ubungo??
Kazi kweli Mnyika twanga hao nyoka wa wa kibisi kichwani wasipate kupumua nyambafu zao
BACK TANGANYIKA
wapenzi wetu kazi wanayo wanajipiga deki uvunguni du
Hivi Mnyika anajua wana ubungo tunaelekea mwezi wa pili sasa hatujaoga kwa kukosa maji?
kaka mi naamini hata kama yeye sio dawasco kuna kitu anaweza akafanya aitishe maandamano ya kudai maji kuanzia kimara mwisho mpaka manzese huone watu watakavyojitokeza,tunashindwa hata na punda huko kenya jana wameandamana we unadhani yule profesa wa maji bila hivyo atakuelewaKweli kwani kutokana na kodi anazokusanya madai yapo sahihi!
Hivi Mnyika anajua wana ubungo tunaelekea mwezi wa pili sasa hatujaoga kwa kukosa maji?
mnyika namkubali kwenye ishu za kitaifa ila huwa anajisahau kama kura zake zinatoka ubungo,anakuwa kama mbunge wa taifa vile ,anaangalia maslahi ya watanzania wote wakati nyumbani kunaungua,inabidi abadilike angalia mwenzake nassari kila siku yupo jimboni iwe misiba au harusi ,michezo kazi za jamii yuko na wapiga kura,mbona slaa alitafuta wafadhili karatu wakachimba visima bila msaada wa serikali
Mbunge Mnyika ana kazi kubwa sana huko Ubungo. Barabara, maji na usalama ni utata mtupu jimbo la Ubungo.
ni kazi ya serikali ya ccm, wana kazi kujitetea
Mbunge Mnyika ana kazi kubwa sana huko Ubungo. Barabara, maji na usalama ni utata mtupu jimbo la Ubungo.
maji maji ndio ishu kosa lake alimuita kikwete daifu so kikwete kaamua kumuonyesha yaani huku watu tunavunda ndoo 1000,