Mkutano wa CHADEMA Sombetini


ulikuwepo mbugani ipi? mawazo anakubalika toka Nyang'wale,Buchosa,Sengerema,Misungwi,Magu,Busega,Bunda,Maswa nk.Nakumbuka tulipiga naye kazi katika uchaguzi mdogo Magu tukachukua vitongoji,mitaa na vijiji kibao ukuwemo mtaa wa Bank-Magu yalipo makao makuu ya ccm wilaya!
 
Mimi ninaishi SOMBETINI, nani kakwambia kuna shida ya maji? Tatizo lenu mnachanganya USELA na SIASA.

Sasa na wewe Mkuu wangu aka Ndondocha mbona watuzingua? Hivi unakumbuka wakati wa uchaguzi wa 4-0 ulisema unaishi kata gani?

Pole maana hilo goli la tano mazee
 

kwa mtu anaetumia ubongo sawasawa kitendo cha kusema mapungufu ya mpinzani inamanisha yeye hatafanya hayo mapungufu kwasasa tunatangaza udhaifu wa ccm tutafanyanini soma ilani ya chama chetu..
 

asante sana kamanda kwa ufafanuzi mzuri..
 
...Kamanda nimemwona Kamanda Mawazo Akirusha makombora mfululizo!!! asee hili jembe!!!!

aisee watu waliguswa mpaka wakawa wanalia jamaa amepitia mateso ndani ya ccm zaidi ya mtu aliyeko kifungoni...
 
Zaman kila post ya chadema lzm na picha. Cku hiz vipi? Hata smart phone na digital camera hamna? Au kuna vitu mnaficha?
 
kwa mtu anaetumia ubongo sawasawa kitendo cha kusema mapungufu ya mpinzani inamanisha yeye hatafanya hayo mapungufu kwasasa tunatangaza udhaifu wa ccm tutafanyanini soma ilani ya chama chetu..

Sasa Mawazo hatafanya nini ambacho Zito kakifanya?
 
Last edited by a moderator:
Last edited by a moderator:


Achana naye huyo , I know the guy toka Geita Sec by then as my prefect ningali o level,akitaka kuwa Mbunge atuambie tu, siye ndo kanda ya ziwa cdm.
 
Umeshawaza watoto wako watakula nini jioni ya leo? au hauna majukumu, unaishi kwa mjomba?

Kwamba mtamfukuza kazi? Hivi vitisho vilishapitwa wakati. Kwa sera hii ya kutisha watumishi wawaabudu hamtaambulia kitu tena. NO LONGER AT EASE.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…