Mkutano wa CHADEMA na waandishi wa habari: Serikali hii inajitangaza kukusanya kodi lakini CAG kaweka wazi ni uongo

Mwanahabari Huru

JF-Expert Member
Mar 9, 2015
14,243
34,899
CCM waliikopesha kampuni ya UHURU PUBLICATIONS milioni 455 na hizi pesa zilitoka wapi na zimefanyiwa nini? Kwa sababu wafanyakazi wa Uhuru Publications bado wanadai mishahara mpaka leo.Tunataka Polepole atolee maelezo kuhusu fedha hizo zilikopotea - CHADEMA.

Serikali hii inajitangaza kukusanya kodi lakini Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali kaweka wazi Tanzania ni ya mwisho katika nchi za Afrika Mashariki kwenye ukusanyaji kodi. Watuambie hizi kodi za wananchi zinaenda wapi? Wakumbuke zinapaswa kutolewa ufafanuzi - CHADEMA

Ripoti ya CAG inasema gharama za uongozaji wa serikali zimeongezeka hadi trilioni 1.7 lakini serikali hii tangu iingie madarakani haijaajiri watu, imepunguza safari za nje, imefukuza wafanyakazi wenye vyeti feki. Sasa hizo hela zimeongezeka zimefanya Nini? - CHADEMA.

Na CCM ijibu hizo fedha za Bilioni 12 walizokopesha makampuni hayo na mishahara ya wafanyakazi wao inatoka wapi? Isije ikawa ndio hizi pesa trilioni 1.5 zilizopotea? - CHADEMA

Tunamtaka @hpolepole atuambie hivi yale makampuni walioingia nayo ubia, wanachama wao wananufaikaje? Hayo makampuni na nani anayasimamia? Au ndiko walikowekeza hizo Sh. trilioni 1.5? - CHADEMA

DbOEODjWkAAj8Kv.jpg


 
Tunataka Polepole atuambie Sh. 455 milioni zimekwenda wapi. Hizi pesa zilikuwa zifanye kazi ya kuendesha na kuwapa mishahara watumishi wa gazeti la Uhuru. Cha ajabu hadi leo wafanyakazi wa gazeti hilo hivi sasa hata nauli hawapewi. Polepole kakaa nazo, tunataka amjibu. - CHADEMA

Serikali hii inajitangaza kukusanya kodi lakini Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali kaweka wazi Tanzania ni ya mwisho katika nchi za Afrika Mashariki kwenye ukusanyaji kodi. Watuambie hizi kodi za wananchi zinaenda wapi? Wakumbuke zinapaswa kutolewa ufafanuzi - CHADEMA

Tunamtaka @hpolepole atuambie hivi yale makampuni walioingia nayo ubia, wanachama wao wananufaikaje? Hayo makampuni na nani anayasimamia? Au ndiko walikowekeza hizo Sh. trilioni 1.5? - CHADEMA

View attachment 750765



Kwa Chama cha calibre ya CHADEMA kufanya such a shallow press conference ni aibu. Debate currently in force is about CAG report- and we expected their press conference to address the shortcomings pointed out in the report as done by ACT.

CHADEMA is rapidly loosing its credibility.Their focus appear to be in cheap politics which do not involve in -depth analysis of political and economic affairs
 
CCM waliikopesha kampuni ya UHURU PUBLICATIONS milioni 455 na hizi pesa zilitoka wapi na zimefanyiwa nini? Kwa sababu wafanyakazi wa Uhuru Publications bado wanadai mishahara mpaka leo.Tunataka Polepole atolee maelezo kuhusu fedha hizo zilikopotea - CHADEMA.

Serikali hii inajitangaza kukusanya kodi lakini Mdhibiti na Mkaguzi wa Hesabu za Serikali kaweka wazi Tanzania ni ya mwisho katika nchi za Afrika Mashariki kwenye ukusanyaji kodi. Watuambie hizi kodi za wananchi zinaenda wapi? Wakumbuke zinapaswa kutolewa ufafanuzi - CHADEMA

Ripoti ya CAG inasema gharama za uongozaji wa serikali zimeongezeka hadi trilioni 1.7 lakini serikali hii tangu iingie madarakani haijaajiri watu, imepunguza safari za nje, imefukuza wafanyakazi wenye vyeti feki. Sasa hizo hela zimeongezeka zimefanya Nini? - CHADEMA.

Na CCM ijibu hizo fedha za Bilioni 12 walizokopesha makampuni hayo na mishahara ya wafanyakazi wao inatoka wapi? Isije ikawa ndio hizi pesa trilioni 1.5 zilizopotea? - CHADEMA

Tunamtaka @hpolepole atuambie hivi yale makampuni walioingia nayo ubia, wanachama wao wananufaikaje? Hayo makampuni na nani anayasimamia? Au ndiko walikowekeza hizo Sh. trilioni 1.5? - CHADEMA

View attachment 750765

Vipi kaelezea pia zile billion 7 ambzo Mbowe kalala nazo mbele?
 
Back
Top Bottom