Msengapavi
JF-Expert Member
- Oct 23, 2008
- 8,757
- 7,543
Kwa kweli hiyo ndo ingekuwa hekima. Hapakuwa na sababu yoyote wakati hatujasikia upande wa watuhumiwa wakijieleza. Mi naona huku ni kujaribu kumfrustrate zzk; uchokozi tu!Ziara za Dr. Slaa huko Kahama na Kigoma ziliwahishwa sana. Wangesubiri mpaka maamuzi ya hatima ya hao walioambiwa wajieleze...
Wabeba mabango wana hoja inayostahili kujibiwa...
........mbona hayo mabango yanaonekana kabisa yameandikwa na mtu mmoja na yametoka sehemu moja,angalia UANDISHI WAKE pia angalia AINA YA KARATASI na WINO ULIOTUMIKA vyote vimefanana....inaonyesha ni jinsi gani waliopanga hili jambo hawako makini na wamekurupuka..viongozi mbalimbali wa CHADEMA wakiwamo Shaban Mambo Mwenyekiti wa chadema Kanda ya magharibi na Rajabu Bujoro Mwenyekiti wa Kasulu wamefungua mkutano hali ikiwa shwari watu wa Kasulu wakionesha ustaarabu wa hali ya juu. Lakini kufumba na kufumbua alipopanda jukwaani Dr Slaa Katibu mkuu wa CHADEMA Taifa kikundi cha watu kiliibuka na mabango mbalimbali huku wakitamka kwa jazba maneno mbalimbali ya kumtaka Zitto na kukejeli upngozi wa juu wa CHADEMA.
Katibu Mkuu ameonesha ustaarabu na demokrasia iliyokomaa alipo ruhusu mabango yasogezwe mbele na kuwataka askari polisi wasiwachukulie hatua wenye mabango. Pia aliwauliza wanakasulu ni wangapi wanataka mkutano uendelee wengi wamenyoosha mikono kutaka mkutano uendelee. Hali si salama sana na nimeacha mpaka naingia mitamboni polisi wanatafuta mbinu mbadala za kuimarisha ulinzi na kuongeza kikosi.
Kwa kweli hiyo ndo ingekuwa hekima. Hapakuwa na sababu yoyote wakati hatujasikia upande wa watuhumiwa wakijieleza. Mi naona huku ni kujaribu kumfrustrate zzk; uchokozi tu!
Wabeba mabango wana hoja inayostahili kujibiwa...
Vyovyote itakavyokuwa, kama wewe unamfahamu ambaye huwa anawatuma basi tutajie. Lakini baada ya siku 14 Zitto afukuzwe kabisa uanachama. Nina uhakika kabisa hawa waleta fujo hawana hata kadi ya uanachama wa CHADEMA.Kwani Chadema wakiandamana huwa wanatumiwa na nani?
mbona mabango yote yameandikwa na mtu mmoja????????????????????????????viongozi mbalimbali wa CHADEMA wakiwamo Shaban Mambo Mwenyekiti wa chadema Kanda ya magharibi na Rajabu Bujoro Mwenyekiti wa Kasulu wamefungua mkutano hali ikiwa shwari watu wa Kasulu wakionesha ustaarabu wa hali ya juu. Lakini kufumba na kufumbua alipopanda jukwaani Dr Slaa Katibu mkuu wa CHADEMA Taifa kikundi cha watu kiliibuka na mabango mbalimbali huku wakitamka kwa jazba maneno mbalimbali ya kumtaka Zitto na kukejeli upngozi wa juu wa CHADEMA.
Katibu Mkuu ameonesha ustaarabu na demokrasia iliyokomaa alipo ruhusu mabango yasogezwe mbele na kuwataka askari polisi wasiwachukulie hatua wenye mabango. Pia aliwauliza wanakasulu ni wangapi wanataka mkutano uendelee wengi wamenyoosha mikono kutaka mkutano uendelee. Hali si salama sana na nimeacha mpaka naingia mitamboni polisi wanatafuta mbinu mbadala za kuimarisha ulinzi na kuongeza kikosi.
hoja gani? Labda onyesha tu kwamba upo tofauti kidogo na hao wabeba mabango kwa kututajia hoja inayostahili kujibiwa hapo. Hivi unafikiri watu wote ni wambea kama ninyi?Wabeba mabango wana hoja inayostahili kujibiwa...