ThinkPad
JF-Expert Member
- Apr 11, 2008
- 1,844
- 232
Hapa nipo kwenye mkutano wa chadema Bukoba mjini chakushangaa jua ni kali balaa lakini watu wapo nyomi mbaya.
Kingine nimekiona hapa ni jinsi Chadema inavyo heshimu dini, hii imetokea wakiwa wanatumbuiza ikafika saa 10 na madakika mida ya adhana kwajinsi chadema inavyo heshimu wakastopisha shughuli zote mpaka ibada ilipoisha chedema naona wanaendelea huku wananchi wakimiminika.
source ni mimi mwenyewe.
Kingine nimekiona hapa ni jinsi Chadema inavyo heshimu dini, hii imetokea wakiwa wanatumbuiza ikafika saa 10 na madakika mida ya adhana kwajinsi chadema inavyo heshimu wakastopisha shughuli zote mpaka ibada ilipoisha chedema naona wanaendelea huku wananchi wakimiminika.
source ni mimi mwenyewe.