Chief Isike
JF-Expert Member
- Jan 17, 2010
- 445
- 462
Wana JF habari zilizonifikia punde sana zinasema mkutano wa CCM huko Sumbawanga umedoda vibaya. Kwanza walilazimika kuchelewa kuanza kutokana na watu kuwa wachache sana uwanjani. Hiyo ni pamoja na kuukwepa uwanja mkubwa wa mikutano uitwao Kizwite, wakakimbilia.
Wakaona soo kumpeleka mtu mzima Luteni Kanali Abdularhaman Kinana kwa watu kiduchu. Wakatumia ule utamaduni wao waliouzoea...kubeba watu kutoka maeneo mbalimbali. Bado haikusaidia.
Wakawakodi wa madereva taksi pale mjini wasaidie kuongeza uzito wa msafara wa Luteni Kanali Kinana, walipofika eneo ambalo msafara ungeanzia, jamaa wa taksi 'wakalianzisha'. Ni baada ya kupewa pesa kiduchu tofauti na walivyokuwa wameahidiwa katika mkakati mzima wa kukodiwa na kubeba bendera na manguo ya kijani ili kufake mapenzi.
Ukafika wakati wa mkutano, ambao kwa kweli ulianza kwa kuchelewa sana na umewahi kuisha. Umeanza mnamo saa 10.30 ukamalizika saa 11.45. That is unsual kwa mkutano wa siasa tena unaohutubiwa na kiongozi wa kitaifa wa CCM wenye itifaki nyiiiiingi na mbwembwe kibao.
Taarifa zinasema tatizo lilianza pale vuvuzela alipoanza kumsifia Luteni Kanali kwa kumfafananisha na makatibu wakuu wengine, anasema amewahi kuwa Spika wa Bunge la EALA, oooh mara hivi oooh mara vile, ohooooo, wananchi wakachoka na blaah blaah dot.com, nao wakaanza...kuanzia hapo kukawa hakuna utulivu, vuvuzela akalazimika kusema "wanaozomea wana mimba...or mnazomea kama mna mimba..." sijui kuna uhusiano wa kukataliwa na wananchi na mama zetu katika ile hatua tukufu. Au ndiyo dharau tu.
Akapanda Luteni Kanali, oooh hali ikaendelea kutokuwa nzuri sana. Mkutano ukalazimika kumalizika mapema. Kwa aibu. Kuna mdau atanitumia picha za mnayo, mwingine za video, soon. Nikizibamba tu, nadumbukiza hapa tufaudu wote, ukweli au kinyume chake.
Wakaona soo kumpeleka mtu mzima Luteni Kanali Abdularhaman Kinana kwa watu kiduchu. Wakatumia ule utamaduni wao waliouzoea...kubeba watu kutoka maeneo mbalimbali. Bado haikusaidia.
Wakawakodi wa madereva taksi pale mjini wasaidie kuongeza uzito wa msafara wa Luteni Kanali Kinana, walipofika eneo ambalo msafara ungeanzia, jamaa wa taksi 'wakalianzisha'. Ni baada ya kupewa pesa kiduchu tofauti na walivyokuwa wameahidiwa katika mkakati mzima wa kukodiwa na kubeba bendera na manguo ya kijani ili kufake mapenzi.
Ukafika wakati wa mkutano, ambao kwa kweli ulianza kwa kuchelewa sana na umewahi kuisha. Umeanza mnamo saa 10.30 ukamalizika saa 11.45. That is unsual kwa mkutano wa siasa tena unaohutubiwa na kiongozi wa kitaifa wa CCM wenye itifaki nyiiiiingi na mbwembwe kibao.
Taarifa zinasema tatizo lilianza pale vuvuzela alipoanza kumsifia Luteni Kanali kwa kumfafananisha na makatibu wakuu wengine, anasema amewahi kuwa Spika wa Bunge la EALA, oooh mara hivi oooh mara vile, ohooooo, wananchi wakachoka na blaah blaah dot.com, nao wakaanza...kuanzia hapo kukawa hakuna utulivu, vuvuzela akalazimika kusema "wanaozomea wana mimba...or mnazomea kama mna mimba..." sijui kuna uhusiano wa kukataliwa na wananchi na mama zetu katika ile hatua tukufu. Au ndiyo dharau tu.
Akapanda Luteni Kanali, oooh hali ikaendelea kutokuwa nzuri sana. Mkutano ukalazimika kumalizika mapema. Kwa aibu. Kuna mdau atanitumia picha za mnayo, mwingine za video, soon. Nikizibamba tu, nadumbukiza hapa tufaudu wote, ukweli au kinyume chake.