wooden flag
JF-Expert Member
- Oct 12, 2014
- 969
- 1,949
Wana jukwaa wasalaam,
Leo ccm ndio wanafungua kampeni zao kata ya Sinza C. Kwa kweli wamefunga mziki mzito sana lakini cha ajabu ni kwamba wamekodi wahuni toka tandale halafu wamewavisha t-shirts za ccm Sinza C, hamna la maana linalofanyika zaidi ya nyimbo za taarabu na kuwapa vijana soda na bia
Leo ccm ndio wanafungua kampeni zao kata ya Sinza C. Kwa kweli wamefunga mziki mzito sana lakini cha ajabu ni kwamba wamekodi wahuni toka tandale halafu wamewavisha t-shirts za ccm Sinza C, hamna la maana linalofanyika zaidi ya nyimbo za taarabu na kuwapa vijana soda na bia