kadoda11
JF-Expert Member
- Jan 6, 2011
- 21,453
- 20,755
Jamani tujitahidi Chama changu naona hali Si shwari kila upande tutakuwa wageni wa nani?
mwisho wa enzi,huwezi zuia mvua,kama inataka kunyesha inanyesha.
Jamani tujitahidi Chama changu naona hali Si shwari kila upande tutakuwa wageni wa nani?
Wana jukwaa wasalaam,
Leo ccm ndio wanafungua kampeni zao kata ya Sinza C. Kwa kweli wamefunga mziki mzito sana lakini cha ajabu ni kwamba wamekodi wahuni toka tandale halafu wamewavisha t-shirts za ccm Sinza C, hamna la maana linalofanyika zaidi ya nyimbo za taarabu na kuwapa vijana soda na bia
Tuwekee za kwako baada ya mkutano kuanza na kwisha maana umepost saa 18:45 muda ambao mkutano utakuwa umeisha.hizo picha mkutano ulikuwa haujaanza
Sema Dr Slaa.! siyo mzee silaa. hii ya kuita mzee silaa wanaitumia wale wendawazimu na mwenye busha,yule mwenyekiti wao,na kina nape..!Leo kigamboni kwetu tulikuwa na mzee slaa aliwapoteza mbaya CCM. CCM wamepiga nyimbo zao wakaja kutufanyia fujo watu wanawangalia tu
Tulia sindano iingie
Wana jukwaa wasalaam,
Leo ccm ndio wanafungua kampeni zao kata ya Sinza C. Kwa kweli wamefunga mziki mzito sana lakini cha ajabu ni kwamba wamekodi wahuni toka tandale halafu wamewavisha t-shirts za ccm Sinza C, hamna la maana linalofanyika zaidi ya nyimbo za taarabu na kuwapa vijana soda na bia