Mzito Kabwela
JF-Expert Member
- Nov 28, 2009
- 18,857
- 7,615
- Thread starter
- #21
Picha please! Nape yupo?
Nape hayupo. Tambwe anasema chadema inawahamasisha wanafunzi wa chuo kikuu kugoma
Picha please! Nape yupo?
Wamekosa magari ya kukodisha kuwapeleka wajumbe wao?
Tuliza munkari
Hizza anasema hata ikitokea mtu akikosa choo watasingizia ccm
Wananchi wangemuuliza yeye na mkapa wao amepeleka nini, tena kawakimbia kabisa anaishi tanga. Hawalioni hilo!Shighela anasema wana wa mtwara hawahitaji mtu kutoka moshi kuwaeleza mambo ya maendeleo yao
Wenyewe wana mtwara wanajua.