Mkutano wa CCM Moshi: Nape aambulia aibu

Mkutano wa CCM Moshi: Nape aambulia aibu

Wana CCM wengi wanaikumbatia CCM kwa upofu tu bila kujua kuwa CCM ina wenyewe kama watu 45 tu hivi Tanzania nzima. Hao ndio mabilionea wa kutupwa. Wengine waliobaki ni walalahoi tu wanaodanganywa na vipesa vichache vya posho za vikao, chumvi, kanga na vitisheti vya kijani kila kukicha.. Hawa kuwaamsha kutoka usingizini ni kazi... Bado tuna safari ndefu!!!
 
uzushi mtupu. Angalia gazeti lako kesho uone CHADEMA inavyoweweseka. Moshi si ngome ya CHADEMA tena. Huwezi kulinganisha Marealle na Sungusia, Mrema, Mushi na wengine.

Gazeti gani mkuu ?
Kweli misukule mna kazi, yaani tayari umeshatabiri gazeti la kesho litakuwa na habari gani, yumkini ni yale magazeti yenu ya propoganda, udaku na porojo altogether.
 
uzushi mtupu. Angalia gazeti lako kesho uone CHADEMA inavyoweweseka. Moshi si ngome ya CHADEMA tena. Huwezi kulinganisha Marealle na Sungusia, Mrema, Mushi na wengine.
Wamefuata nini huko?wanadhani wachaga wana ugonjwa wa kusahasahau km magamba.wanaexpose tactics za kuteka na kuua halafu wanasingizia cdm,sasa hawaponi.

Tutarudi kwetu reset kila kitu.Na Kampeni ni hiyo hiyo ccm kuchukia wachaga,chama cha kiislam na ushahidi tumeziona kitaifa,kauli ya uvccm kibaha kuwa wachaga wasahau uongozi wa nchi.wameua viwanda ili wachaga waanguke na kampeni za siri kuwanyima wachaga kazi hata ktk mkoa wao.

Tupo sizable no ya freelancer toka maeneo ya nje ya kili na kila mtu atajigharamia mwenyewe kuhakikisha kila neno walilolitumia cm dhidi ya vyama vingine linawageuka.,kila kauli ya uchaga sasa watavalishwa,udini watavalishwa, ugaidi watavalishwa.Thanx God mlishajenga base ya kuaminisha raia sisi tutathibirha tuu kwa kauli ziliyoka midomoni kwa magamba.
Rest in tormenting storms, Damn Party.
.
 
Kwi ! Kwi! Kwi! Kwi! Siwezi kuhutubia Miti ni bora kuvunja mkutano .
 
Wana CCM wengi wanaikumbatia CCM kwa upofu tu bila kujua kuwa CCM ina wenyewe kama watu 45 tu hivi Tanzania nzima. Hao ndio mabilionea wa kutupwa. Wengine waliobaki ni walalahoi tu wanaodanganywa na vipesa vichache vya posho za vikao, chumvi, kanga na vitisheti vya kijani kila kukicha.. Hawa kuwaamsha kutoka usingizini ni kazi... Bado tuna safari ndefu!!!

chadema ina watano tu
 
Yaani unapewa viroba unaandika uzi huu ur so cheap
 
Habari za kupikwa na jiko la mchina hizi, hazina ukweli wowote.

Source: mimi mwenyewe nilikuwepo kwenye mkutano.
 
Wataendelea kuaibika mpaka watakapobaki kuwa chama dhaifu cha upinzani
 
mkuu acha kutudanganya kahaba,mwizi,mwongo, hana aibu.nape hana alisha filisika aibu
 

wewe kweli taahira. sio maprochadema au maproccm ambao hawajaelewa ulichokifanya. kila mmoja anajua umetuletea picha kisanii kwa kupiga picha kule alipo mzungumzaji huku ukiacha hadhira. halafu unajiridhisha. again wewe utakuwa na utaahira usiokifani.
 
attachment.php


Wachache wameshakiteka chama cha CCM na sasa wananchi wameshawashtukia
 
We nani kakuambia mchaga ni mjinga kama walivyo wajinga akina nape na mwigulu wa singida!? Uchagani 80% ni masters wengn phd, tena ya kiwango cha juu co hii ya nape ya 4m point 29 afu unaenda kusoma masters india na point kama hii! Aibu ndo mana anajipodoa
 
Hivi akina Shonza na Mtela nani anawasafirisha? Na vipi Chemba ajaanza kumnyemelea Bi Shonza? Maana kwenye matukio kama haya uwa achezi mbali.

Kuna vijana wameanza kuona kumbe CCM ina wenyewe...wamejitoa kwenye chama muda mrefu..leo kina Shonza wanakuja kupeta wao wanakaa na njaa zao...wanadai na wenyewe waende CHADEMA then warudi CCM ndio waonekane wa maana....!
 
Back
Top Bottom