Mkutano wa Ccm uliofanyika katika viwanja vya Railway katika Manispaa ya Moshi hii leo jioni hata pamoja na kusomba watu na magari umekosa watu kabisa mkutano huo umeongozwa na NAPE NNAUYE Pamoja na Vijana waliofukuzwa CHADEMA MTELA MWAMPAMBA NA JULIANA SHONZA NA VIONGOZI WENGINE WA CCM MKOA.