Kuwanga mida ya jioni..uzushi mtupu. Angalia gazeti lako kesho uone CHADEMA inavyoweweseka. Moshi si ngome ya CHADEMA tena. Huwezi kulinganisha Marealle na Sungusia, Mrema, Mushi na wengine.
View attachment 89352
Nyingine hii
Mkutano wa Ccm uliofanyika katika viwanja vya Railway katika Manispaa ya Moshi hii leo jioni hata pamoja na kusomba watu na magari umekosa watu kabisa mkutano huo umeongozwa na NAPE NNAUYE Pamoja na Vijana waliofukuzwa CHADEMA MTELA MWAMPAMBA NA JULIANA SHONZA NA VIONGOZI WENGINE WA CCM MKOA.
uzushi mtupu. Angalia gazeti lako kesho uone CHADEMA inavyoweweseka. Moshi si ngome ya CHADEMA tena. Huwezi kulinganisha Marealle na Sungusia, Mrema, Mushi na wengine.
hivi yule binti wa channel 10 aliyepokonywa na Rostam yupo wapi sasa?hivi nape kweli unaakili hapo moshi hata ukija na kimada wako,mnachezea patupu,shughuli mnayo
Nahisi kuna mabadiliko makubwa JF kutoka kuwa ya Great Thinkers kuwa ya Great Stingers. Hutupost Facts bali ushabiki wa vyama iivyetu
AmefunikaMasikini weee Nape na vijana wake mikoani kunani??????????
![]()
Picha hizi hapaView attachment 89351