Mkutano wa CCM live Singida kupitia Star tv

Mkutano wa CCM live Singida kupitia Star tv

mmaranguoriginal.

JF-Expert Member
Joined
Jan 1, 2014
Posts
4,060
Reaction score
460
Tunameamua kurusha mkutano wetu kupitia star tv kukinadi Tanzania nzima, karibuni wana Singida wote.

Nawasilisha.
 
Viongozi wetu wa chama wapo, ndani ya viwanja vya People's..

Karibuni wote.

Mandla.
 
Hizi ni harakati endelevu katika kuisimamia Serikali na watendaji wake ili ILANI ya CCM itimie vyema.
 
Kama kichwa cha habari kinavyojieleza. Naona watu ni wawastani wamehudhuria wakiwa wamevaishwa kijani na njano hapa.
 
Kinana anahutubia sasa na kusema kuwa "viongozi wanafikiri kuwa wanajua kila kitu kumbe sio" na anaendelea kutoa shukrani
 
N/Waziri wa uchukuzi ndie atakuwa wa kwanza kuongea....mambo ya BRN, nadhani mnayakumbuka vizuri.
 
Mkuu wa mkoa na waziri nao wanatarajia kupanda jukwani kufanya siasa za ccm.
NB: Si watangaze kuwa sasa chama kimeshika hatamu?
 
Naona malori sasa yanapiga kazi kujaza watu uwanjani, na nasikia kuwa Star TV wamekatisha kurusha hewani mpaka hili zoezi likamilike.
 
Bahati nzuri wote wamevaa ngua mpya za chama hivi zinauzwa duka gani hapa singida
 
Kha! Mkuu wa Mkoa Mh. Paresko nae kavaa nguo za ccm na anakinadi chama.
 
Kama kichwa cha
habari kinavyojieleza. Naona watu ni wawastani wamehudhuria wakiwa
wamevaishwa kijani na njano hapa.

makubwa kuna kijana amesinzia wakati amesimama sijui kaboreka na nini?
 
N. waziri wa Uchukuzi anasema reli sasa ni imara na hata mvua inyeshe usiku na mchana hakuna shida.
 
Back
Top Bottom