Mkutano wa CCM kuzuiwa na Polisi?

Mkutano wa CCM kuzuiwa na Polisi?

Mikutano ya vyama vya siasa nchini na maandamano vyote vimepigwa marufuku mpaka hapo hali ya usalama nchini itakapotengamaa, lakini cha kushangaza maandamano ya CCM RUKHSA na mikutano ya CCM ni RUKHSA kwao hawa CCM hali ya usalama nchini ni shwari kabisa, ila hali ya usalama haijatengemaa inapokuja kwenye vyama vya UKAWA.
Alafu eti anataka aombewe!!Hata akiwa katika hali gani huyu siwezi kumombea kamwe.
 
f4a46b8c801665181a0c4c37fec9262c.jpg
 
Kwa sababu tu kaandika kile ambacho wewe hukubaliani nacho basi akili yake si sawa. Duh! acha kukurupuka kama huna la maana la kuandika pita kimya kimya.
Mpwa nilishawazoea hawa jamaa hawanipi shida hata kidogo
 
  • Thanks
Reactions: BAK
Nasikia Iringa wamefanya mahafali kama ya huko Dodoma ya cdm lakini hawajapigwa.!
Hahahahaha Polisi hawakua na taarifa, I swear wangekua na taarifa wasingeruhusu namwambia, Jeshi liko imara na haliyumbishwi na Siasa
 
Mkuu Niko tayari tubet, Jeshi halitakubali Mkutano wa kisiasa kufanyika, wameshatoa agizo, kwani hujaona vyama vingine vimezuiliwa? Si wamekaidi? Subiri uone, Acha ubishi Mpwa
Mkuu hapo naona unapoteza nguvu zako ambazo ungezitumia kutafutia sukari ukanywa na wanao, nchi hii hakuna wa kuzuia mkutano wa ccm ktk nchi hii
 
Leo ccm mjini kigoma wamepingana na agizo la mkurugenzi wa manispaa ya kigoma na hakuna wa kuwakemea
 
Mkuu hapo naona unapoteza nguvu zako ambazo ungezitumia kutafutia sukari ukanywa na wanao, nchi hii hakuna wa kuzuia mkutano wa ccm ktk nchi hii
Ina maana Jeshi imara La Polisi litaruhusu Kweli? Acheni uongo bhana, Napinga kwa nguvu zote maana lilishasema kuwa halitawavumilia, iweje wawavumilie?
 
Mkuu hapo naona unapoteza nguvu zako ambazo ungezitumia kutafutia sukari ukanywa na wanao, nchi hii hakuna wa kuzuia mkutano wa ccm ktk nchi hii
Ina maana Jeshi imara La Polisi litaruhusu Kweli? Acheni uongo bhana, Napinga kwa nguvu zote maana lilishasema kuwa halitawavumilia, iweje wawavumilie?
 
Ina maana Jeshi imara La Polisi litaruhusu Kweli? Acheni uongo bhana, Napinga kwa nguvu zote maana lilishasema kuwa halitawavumilia, iweje wawavumilie?
Wacha tumshirikishe na lizaboni kwanza
Cc:Lizaboni
 
Tunalipenda Jeshi letu sikivu, Jeshi lenye Nidhamu na hivyo tunaliomba liendelee na msimamo wake ule ule wa kuzuia mikutano ya vyama vya Siasa kama ilivyofanya kwa Chadema na ACT Wazalendo.

Tarehe 23 Julai 2016 CCM nao wametangaza Mkutano wao wa kumkabidhi Mwenyekiti chama, huu ni Mkutano wa kisiasa, ni Mkutano ambao hauna tofauti na ule wa ACT wa ndani ya Ukumbi au ule wa Sherehe za CHASO huko Dodoma Leo. Tunaamini Jeshi letu pendwa litapeleka Magari ya Washa Washa kwenda kuzuia Mkutano ule. Naam ni Mkutano wa Siasa!

Asante Jeshi letu pendwa....
Katika watu hayawani wewe mmoja wapo kabla ya kukurupuka na hoja zako tazama dhamira ya mikutano hiyo ndo uje na hoja hii
 
Katika watu hayawani wewe mmoja wapo kabla ya kukurupuka na hoja zako tazama dhamira ya mikutano hiyo ndo uje na hoja hii
Kweli Mimi ni hayawani ndio maana, Wewe ambaye sio hayawani usijibu hoja za hayawani vinginevyo na Wewe utakua huna tofauti na hayawani kwa kujadili mambo ya mahayani kama Wewe!!
 
Agizo lilikua linasemaje Mpwa, hebu weka nyama hapa hapa tujadili
Mkuu manispaa waliwapiga biti watu wa bajaji na bodaboda kutoingia mjini na wakawajengea sehemu ili wakae hapo na kuwasubiria abiria hapo hapo, sasa ccm ktk kutafuta kick wameamua kuwa ni lazima bodaboda na bajaji waingie mjini sasa sijui huyo mkurugenzi atajisikiaje
 
Back
Top Bottom