Mkutano wa CCM Jangwani: CCM yafa Rasmi

Politics is a GAME. Bado inawezekana ikawa imefanikiwa kupumbaza idadi kadhaa ya wananchi kutokana na kutoelewa mambo kwa undani. Bado CDM wanakazi kubwa ya kufanya raking tena Dar na kuendelea kuelimisha umma juu ya elimu ya uraia sehemu mabimbali nchini.
 
Hivi majuzi ulifanyika mkutano wa chama cha mapincuzi (ccm) maeneo ya jangwani. Swali kubwa la kujiuliza ni nini kilipelekea mkutano huu?!

Jibu rahisi ni kwamba ccm ilitaka kujibu mapigo ya chadema ambayo ilikuwa imefanya mkutano wake eneo hilohilo majuma machache yaliyopita.

Kinachoshangaza na kusikitisha ni kuwa baada ya ccm kutafakari upepo wa kisiasa ulivyo na jinsi kilivyo poteza mvuto na ushawishi kisiasa mbele ya wananchi waliamua kufanya yafuatayo;

1. Walikodi pikipiki nyingi na magari kwa ajili ya kusomba watu kutoka seheme mbalimbali za jiji. Nakuambia magari kama coaster zilikuwa zinapita katika vitongoji kuomba watu waende mkutanoni. Hata maaeneo yetu ya mbezi niliziona zikiwa na bendera za chama!!!!

2. Pesa zilimwagwa

3. Walitumia mawaziri karibu wote kuhutubia

nimeamini kweli ccm wamepoteza mvuto

toa maoni yako
zaidi ya hayo,inaonesha waliokusanywe wenyewe ni watu wasiokuwa na intrest na kilichowaleleka.maana wengi walikuwa wamekaa tu hawajibu hata wakisalimiwa li salamu yao,wengine wanapiga story wakati hao mawazili vumeo except one wakihutubia,cha ajabu,mkutano uliisha saa kumi na moja kamili ili mariry yaanze kazi ya kuwarudisha watu wa nje ya mji,maana waliwatoa mbali sana,kisarawe,kongowe,kibaha,bagamoyo etc,so ilibidi wawahi maana naishi mbali na nimaeneo ya ndani sana.kweli wanatapatapa.
 
akihutubia wanachama walioletwa na mafuso Mh Magufuli alisema ccm haibabashwi na vyama vidogo vidogo hasa CDM. Lakini kilichonishangaza ni kuwa neno chadema alikuwa akilirudia mara kwa mara kuonyesha jinsi linavyomnyima usingizi. Mwanaume katika hotuba zile alikuwa ni mmoja tu Mwakyembe, yeye alielezea wizara yake ikoje na anategemea kufanya nini. sio magufuli analalama hovyo hovyo mara chadema mara nini. Kama yuko serious arudishe nyumba za serikali walizouziana yeye si anajidai mzalendo!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Back
Top Bottom