Technician
JF-Expert Member
- Mar 30, 2010
- 841
- 222
R.I.P CCM wasalimie kuzimu tena msalimie KANU
Ni kitu iko wazi,mawaziri walitakiwa kutoa sehemu ya malimbikizo
yao ili kuhakikisha wanapata watu wengi zaidi kwenye mkutano
kuonyesha ulimwengu kuwa bado ni chama kikuu kilichoshika dola.