kingunge wa jf
JF-Expert Member
- Dec 24, 2013
- 466
- 457
Wale wapenzi Wa ACT kesho Kuna kijimkutano chenu hapa Mwanza viwanja vya Mbugani mgeni mashuhuri anaetangazwa ni saliti Mwigamba karibuni
wanafanyia msikiti gani?
ACT-Alliance of Crazy TraitorsACT - Alliance of Cash spinners and traitors!!!!
wanafanyia msikiti gani?
hawa panya nao, waacheni tu wale hayo magunia (chama cha upinzani hakiwezi kuweka vita na upinzani).
inashangaza wapinzan leo wanaogopana wao kwa wao inaonyesha jinc hawa jamaa wa act ni wazur ndio maana wanaogopwa na cdm na kuanza vijembe