Leo Dodoma na vitongoji vyake inaenda kusimama kwa muda kufuatia mkutano mkubwa wa UKAWA. Wasemaji wakuu wakiwa rais wa mioyo ya watu dr. slaa,Mnyika,Salumu Mwalimu na wabunge wote wa UKAWA.
Nitakuwa nikiwaletea kila kinachojiri.
===== Updates =====
Maandalizi bado yanaendelea na watu wanaendelea kuingia uwanjani.
Nitakuwa nikiwaletea kila kinachojiri.
===== Updates =====
Maandalizi bado yanaendelea na watu wanaendelea kuingia uwanjani.