Mkutano mkubwa wa UKAWA Dodoma

Mkutano mkubwa wa UKAWA Dodoma

TOMEE

JF-Expert Member
Joined
Sep 17, 2013
Posts
588
Reaction score
118
Leo Dodoma na vitongoji vyake inaenda kusimama kwa muda kufuatia mkutano mkubwa wa UKAWA. Wasemaji wakuu wakiwa rais wa mioyo ya watu dr. slaa,Mnyika,Salumu Mwalimu na wabunge wote wa UKAWA.

Nitakuwa nikiwaletea kila kinachojiri.

===== Updates =====

Maandalizi bado yanaendelea na watu wanaendelea kuingia uwanjani.
 
Huo mkutano unafanyika kwenye viwanja gani?
 
...

...ccm yuko mahututi India zigo la Escrow limemvimbia tumboni !!!
 
....siku yaja ambayo itachukua kisu na kuchinja ccm shingo.
 
mkuu hivyp viwanja vipo wapi pale wajenzi au kule mbele ya jamhuri
 
Mbona wasemaji wote ni kutoka chadema?

Chadema ni moja ya chama kinacho kamilisha Muungano huo wa Ukawa,au ulitaka na Wasira awe msemaji?,lakini pia mambo ya Ukawa yanakuhusu nini? Kinana amedoda kusini poleni sana mtaimba mwaka huu mpaka mchanganyikiwe
 
Hapa Dodoma wananchi hawaijui chadema, ukawa wala gazeti la Tanzania Daima!! Mnajisumbua bure...
 
Back
Top Bottom