Hapo dodoma mjini tu hakuna hata diwani wa CHADEMA we unawaambia waende vijijini kufanya nini?
Kwani Arumeru kulikuwa na Diwani Chadema?
Hapo dodoma mjini tu hakuna hata diwani wa CHADEMA we unawaambia waende vijijini kufanya nini?
Dodoma ni ngome ya ccm, cdm poleni sanaWana jf na wana Chadema wote waishio dodoma ni kwamba siku ya jumatano tar 11/4/02 kutakuwa na mkutano mkubwa wa chama tajwa utakaofanyikia katika viwanja vya BARAFU-dodoma kuanzia saa saba mchana.atakuwepo na kuhutubia mh.F.Mbowe akiambatana na wabunge wengine mashuhuri wa chdm;mdee,msigwa,wenje,mnyika,sugu,kabwe,Lisu,silinde nk.pia tutampokea na kumkaribisha dogo janja a.k.a mh sana J.Nassari!karibuni nyote!NAPE&MWIGULU KARIBUNI pia mkamshangilie dogo janja aliyewazid maujanja Arumeru!
Source:
mimi mwnyw nipo dodoma kwa sasa kwa shughuli hy
Dodoma ni ngome ya ccm, cdm poleni sana
Wote hawakupewa barua Ya wito wa kuapishwaPamoja na kuunguruma kesho viwanja vya barafu Dodoma Nasari na mbunge mwenzake wa viti maalum wamenikera kwa kutokwenda bungeni kuapishwa. Ina maana tayari wameyashiba madaraka? Hawaoni kama wananchi wao watawaona kama malimbukeni ambao hawana muda wa kuwawakilisha bungeni? Nini kimewaleta Dodoma? Ndio maana baadhi wa wanazuoni wanakiona CDM kama chama cha msimu na kifo chake chaweza kuwa cha aibu kama cha kanumba. Baada ya peoples' power nyingi watu watakichoka kitaonekana ni chama kisichokuwa na jipya bali fujo.
Wana JF na wana Chadema wote waishio Dodoma ni kwamba siku ya Jumatano tar 11/4/02 kutakuwa na mkutano mkubwa wa chama tajwa utakaofanyikia katika viwanja vya BARAFU - Dodoma kuanzia saa saba mchana.
Atakuwepo na kuhutubia mh. F. Mbowe akiambatana na wabunge wengine mashuhuri wa CHADEMA; Mdee, Msigwa, Wenje, Mnyika, Sugu, Kabwe, Lisu, Silinde nk. Pia tutampokea na kumkaribisha dogo janja a.k.a mh sana J. Nassari!
Karibuni nyote! NAPE & MWIGULU KARIBUNI pia mkamshangilie dogo janja aliyewazidi maujanja Arumeru!
Source:
Mimi mwenyewe nipo Dodoma kwa sasa kwa shughuli hiyo!
ndio nini sasa tuambie sera gani anamwaga jamani hatupo hapo viwanja vya barafu fanyeni kama mareporter wa A Town bwanaMnyika anamwaga sera za kutosha hapa.
Unapokoment uwe unafikiri japo kidogo,japo hata elimu ya darasa la pili itakusaidia.....Kondoa pigeni kambi kabisa kwani uislamu umetawala pale na u-CUF.
Vipi Lusinde mnamkaribisha?
Huyu mbunge anaitwa matebuli au nani jamani naomba mnisahihishe... Huyu aliyepigwa mapanga...ndio anatoa ushuhuda hapa jinsi walivyodundwa.