Mkutano mkubwa wa CHADEMA Dodoma

Nani kakwambia hatufanyagi mikutano vijijini? Mbona bahi tuna matawi mengi sana, hii ni ratiba tofauti ya kumtambulisha mbunge mteule dodoma, ratiba nyingine za kujenga chama zitaendelea.

CS tuache utani kwenye kazi hasa kujenga chama, matawi ya bahi ni pale makao makuu ya wilaya, vijijini bado CDM haijasimika matawi na watu wameshaanza kupata uelewa wa chama. please tuwe serious kwa jambo hili.
 
mpayukaji wa mtela mwenye matusi nae aje ili ajione alivyo na haya kutukana hadi baba zake kama slaa
 
kipindi cha bunge .. siku za weekend wabunge wa cdm wangekuwa wanapeleka moto kongwa, mpwapwa, kibakwe na sikusubiri 2015. Ni ngumu upinzani kuchukua jimbo dodoma lkn cdm inaweza kuongeza mtaji wa kura za urais

Narubongo
@kambi ELairLines imepoteza muelekeo na mvuto
 
kipindi cha bunge .. siku za weekend wabunge wa cdm wangekuwa wanapeleka moto kongwa, mpwapwa, kibakwe na sikusubiri 2015. Ni ngumu upinzani kuchukua jimbo dodoma lkn cdm inaweza kuongeza mtaji wa kura za urais

Ni kweli kwa cdm kuchukua jimbo dodoma itakuwa ngumu kwa sababu ya kisera zaidi na sio mtu. Sera ya cdm ni kufuta mpango wa kuhamia dodoma sina hakika kama wamebadilisha. Mara nyingi maeneo ambayo yanaondolewa huduma fulani hata km ni kwa maslahi ya taifa basi wanapinga. Kwa dodoma wanategema kuwepo kwa mji mkuu kutasukuma maendeleo, sio km Dar ambayo tayari ipo mbele hata ukihamisha watu hawata pata madhara makubwa
 
Ni kweli kwa cdm kuchukua jimbo dodoma itakuwa ngumu kwa sababu ya kisera zaidi na sio mtu. Sera ya cdm ni kufuta mpango wa kuhamia dodoma sina hakika kama wamebadilisha. Mara nyingi maeneo ambayo yanaondolewa huduma fulani hata km ni kwa maslahi ya taifa basi wanapinga. Kwa dodoma wanategema kuwepo kwa mji mkuu kutasukuma maendeleo, sio km Dar ambayo tayari ipo mbele hata ukihamisha watu hawata pata madhara makubwa

mkuu sikumaanisha swala la mji mkuu. Dodoma % kubwa kwanza hawaelewi hata maana ya mji mkuu ni nini. Tatizo la pale ni elimu ya uraia, watu hawajielewi kabisa. Ukipeleka debe la mahindi kila nyumba unauhakika wa kupata kura za familia nzima
 
gt mwanzo wa ngoma ni lele, Dodoma ni ngome kuu ya ccm, ili uweze kuteka vijijini ktk mkoa huu ni lazima ueleweke mjini kwani walioko vijini ni wazazi na ndugu zetu, tukielewa, tutasaidia kuelimisha, kisha kazi ya kufungua matawi itakuwa rahisi sana
peoplez zzzzzzzzzzzzzzzz power
 
Hapo barafu ni padogo sana, shule ya jamhuri imechukua sehemu kubwa na kale kamgahawa pale katikati.

Kwanini msiombe uwanja wa Jamhuri?

magamba ndo wanafanyiaga humo si unajua li uwanja lao!
Wanabana kinoma!
 
CDM waamsheni wagogo, wapeni elimu ya uraia. Nendeni majimbo ya Kibakwe na Mtera, wawakilishi wa majimbo haya wamejisahau mno. Bwana "Matusi" (LUSINDE) na Ndugai hakikisheni mnawaondoa majimboni mwao
 
Sawa kabisa, uko sahihi mkubhwa wangu. Lakini tambua kuwa mapinduzi siku zote huanzia mijini, watu wa vijijini kazi yao ni kufuata mkumbo tu, wakisia mijini kumewaka moto, wao wataitikia, na katika hili nashauri cdm watafiti kwa nn dar wanakwamisha mapinduzi kwa kuendelea kushabikia magamba. Maoni yangu nadhani hoja za ufisadi haziuziki dar, kwani mafisadi ndo wanaoendesha maisha ya wana dar.

nadahani cdm sio chama cha mjini tu, cdm dodoma hebu amkeni nendeni vijiji ambako cdm haifahamiki. Kila siku uwanja wa baraufu kwani hapo ndo mwisho dodoma, nendeni kibakwe, bahi, banyibanyi, chilonwa, itiso, mayamaya, mpwayungu, mlodaa, kongwa, kondoa na vijiji ambavyo sijavitaja.
 
Back
Top Bottom