Mkutano mkubwa wa CHADEMA Dodoma

Mkutano mkubwa wa CHADEMA Dodoma

Nyani haoni Kundule....

Toa Boriti kwenye jicho lako kwanza ndo umwambie jirani yako atoe kibanzi.

Kudadadadeki, Csm - Chama cha Matusi, aka Lusinde.

Chama cha Kidini - Scm

Serikali ya Kidini ya Mzururaji Vasco Da gama

Chama cha Mauaji - Kolimba, Nyerere, Kombe, Mv Islander, na mmemkosa kosa mwingine kwa sumu.[/QUOTE

umeona eeeh! Ulijuaje?
 
Mwenyekiti wa CDM na katibu mkuu kwa kushirikiana na wabunge wa CDM akiwamo Joshua Nasari kesho watafanya mkutano mkubwa wa hadhara katika viwanja vya barafu mkoani Dodoma.


nipo dom
pamoja sana kuweka uzi!
 
Tumetia timu Dodoma tayari kwa maandalizi ya mkutano wa kesho. Nitawapa updates za kila kitakachojiri viwanja vya barafu! Karibuni wanafunzi wa Udom, Mipango, st John's, cbe, chuo cha serikali za mitaa Hombolo bila kuwasahau walimu toka Capital, Dar ul muslimeen, salesian seminary wakiwemo mafundi wanafunzi wa don bosco tech pamoja na wakazi wote wa Dom. Karibuni wakazi wa Uzunguni, uhindini, area c, area A, area d, Nkuhungu, chang'ombe, kizota, Bahi road, maili2, Mbwanga, Miyuji, Msalato, veyula, Iringa road, Kikuyu, makulu, Ilazo, Kisasa, Ipagala, Nzuguni, ihumwa na Chamwino.
 
Polisi zuia huo mkutano hapo makao makuu ya chama!

Mpaka mkutano unatangazwa kufanyika ni kwamba tayari polisi wameshatoa kibali cha mkutano. Labda muamuru Green Guard kuzuia waone kama wataweza kusindana na Nguvu ya Umma
 
Wakuu nashauri baada ya Dom Town, tumpandie Lusinde kule Mtera, tena tufanyie pale MVUMI Mission na kumwekea DVD zake za sera ya CCM ili alijue jiji! By the way, binafsi nahesabu tumeongeza jimbo lingine -Mtera.
 
Kila la Kheri Makamanda, Mungu awatangulie katika Mkutano wa kesho.
 
Pamoja na kuunguruma kesho viwanja vya barafu Dodoma Nasari na mbunge mwenzake wa viti maalum wamenikera kwa kutokwenda bungeni kuapishwa. Ina maana tayari wameyashiba madaraka? Hawaoni kama wananchi wao watawaona kama malimbukeni ambao hawana muda wa kuwawakilisha bungeni? Nini kimewaleta Dodoma? Ndio maana baadhi wa wanazuoni wanakiona CDM kama chama cha msimu na kifo chake chaweza kuwa cha aibu kama cha kanumba. Baada ya peoples' power nyingi watu watakichoka kitaonekana ni chama kisichokuwa na jipya bali fujo.
 
CCM polisi ni wa kwao, majaji ni wa kwao, tume ya uchaguzi ni ya kwao, TISS ni ya kwao nk. CDM mna Mungu, basi mtegemeeni huyo tu.
 
Cdm chama makini, huwezi kuzuia kimbunga cha mageuzi. Huu ni muda mwafaka kwa cdm kufanya mavitu yake. M4c, people's poweeer!
 
Pamoja na kuunguruma kesho viwanja vya barafu Dodoma Nasari na mbunge mwenzake wa viti maalum wamenikera kwa kutokwenda bungeni kuapishwa. Ina maana tayari wameyashiba madaraka? Hawaoni kama wananchi wao watawaona kama malimbukeni ambao hawana muda wa kuwawakilisha bungeni? Nini kimewaleta Dodoma? Ndio maana baadhi wa wanazuoni wanakiona CDM kama chama cha msimu na kifo chake chaweza kuwa cha aibu kama cha kanumba. Baada ya peoples' power nyingi watu watakichoka kitaonekana ni chama kisichokuwa na jipya bali fujo.



umekumbuka au kuona ama kumuona Nassari tu! Ila hujajiuliza kwann viti bungen vilikuwa waz?
 
Back
Top Bottom