ohoo> Kwani CHADEMA inatangaza dini?Kondoa pigeni kambi kabisa kwani uislamu umetawala pale na u-CUF.
Nakubaliana na wewe, lakini CDM tumezidi kufanya mikutano mjini, Vijijini tumekusahau ambako magamba ndo huwa wanaenda kutuibia kura
Hapo dodoma mjini tu hakuna hata diwani wa CHADEMA we unawaambia waende vijijini kufanya nini?
Tuko pamoja mkubwa, lakini chama kiangalia utaratibu wa kufanya mikutano mikubwa vijijini kwa ajili ya kujitangaza zaidi maana chama hiki kimejitangaza vema bado wananchi wa vijijini wanapotezwa sana na sisiemu kwani wanaambiwa vyama vingine ni vya wahuni.[Lazima ujue kuwa mapambano ni hatua hivyo sidhani kama cdm hawalioni swala la vijijini. Tuwe wavumilifu ukombozi wa fikra utafika tu hata huko vijijini pia. Ukombozi daima, pamoja tutafika
Wana jf na wana Chadema wote waishio dodoma ni kwamba siku ya jumatano tar 11/4/02 kutakuwa na mkutano mkubwa wa chama tajwa utakaofanyikia katika viwanja vya BARAFU-dodoma kuanzia saa saba mchana.atakuwepo na kuhutubia mh.F.Mbowe akiambatana na wabunge wengine mashuhuri wa chdm;mdee,msigwa,wenje,mnyika,sugu,kabwe,Lisu,silinde nk.pia tutampokea na kumkaribisha dogo janja a.k.a mh sana J.Nassari!karibuni nyote!NAPE&MWIGULU KARIBUNI pia mkamshangilie dogo janja aliyewazid maujanja Arumeru!
Source:
mimi mwnyw nipo dodoma kwa sasa kwa shughuli hy
Hapo dodoma mjini tu hakuna hata diwani wa CHADEMA we unawaambia waende vijijini kufanya nini?
Polisi zuia huo mkutano hapo makao makuu ya chama!