Mkutano Maalum wa CHADEMA Arusha Mjini

Mkutano Maalum wa CHADEMA Arusha Mjini

Wakati makamanda Leo wanapanga mikakati yakuchukua halimashauri,wao wanacheza ngoma tu pale sheikh amri abeid stadium. Magamba bhana! Kwa Arusha jimbo ambalo ninaweza kubaki CCM ni munduli tu. Mengine yote yanakwenda CHADEMA mchana kweupee! Tuombe October tuwe hai tu.

Hata Munduli wamasai wamesema no kwa ufisadi
 
Inatia moyon. songa Mbele
 

Attachments

  • 1433039662013.jpg
    1433039662013.jpg
    17.6 KB · Views: 1,035
Kwanini chadema kina nguvu sana kaskazini, hata mikakati yao mingi inaanzia huko, naomba mnijuze
 
mkuu chadema kwanza nakutakia kila la heri , mimi niko kyela imebidi niingie mbeya kwa fastjet jioni hii kuhakikisha mwakyembe hakanyagi bunge lijalo .
 
Kwanini chadema kina nguvu sana kaskazini, hata mikakati yao mingi inaanzia huko, naomba mnijuze
Jibu la swali lako dogo ni kuwa kaskazini nafikiri walianza kuona maono mapema, ila sehemu zingine bado wako kwenye usingizi wa pono
 
Arusha hawaitaji kampeni za upinzani maana wote wajanja
Hizo kampeni wangetuletea huku kwa wasukuma chakii habari za siku ndugu yangu
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom