Mkutano Maalum wa CHADEMA Arusha Mjini

Mkutano Maalum wa CHADEMA Arusha Mjini

Rip chadema,chama cha kikanda na kikabila,leo wameabika sana pale Arusha,bavicha na saccos yenu mwaka huu mwisho kutafuna ruzuku
 
Rip chadema,chama cha kikanda na kikabila,leo wameabika sana pale Arusha,bavicha na saccos yenu mwaka huu mwisho kutafuna ruzuku
Wameaibika na nini? Sasa sana mechoreka malori wamechukia sana maana hamjawalipa hela zao
 
SAFI sana acha fisadi akodishe watu Arusha halisi inafanya yake
 
Kamanda uwa unapata kweli muda hata wa kupumzika au kuongea na familia yako.

Ni Nguvu za Mungu alizonipa na nimaelekezo yake pia nikitumikie chama chenye baraka zake
 
Mkutano Maalumu wa Chadema Arusha Mjini Unaendelea. Lengo ni Mikakati ya Ushindi Uchaguzi Mkuu

Washiriki ni Wenyeviti na Makatibu wote wa Kata 25 za Jijini Arusha

Sijui umekula maharage ya wapi wewe!! Habari ya mjini leo ni kutangaza nia wewe unatuletea mikakati hewa.
 
Back
Top Bottom