Mkutano Maalum wa CHADEMA Arusha Mjini

Mkutano Maalum wa CHADEMA Arusha Mjini

Lowasa ni mpango wa mungu

huwezi jua mpango huo wa Mungu ni kuhakikisha kila mtu ana muona kwa macho yake jukwaani ili asijekufanya kosa la kumchagua october ndio maana anahakikisha mikutano yake watu wote wanamuona kwa macho
 
Upepo umepita" makamanda tunaendeleza mapambano kama kawaida. Sasa tunawasindikiza hawa wageni waliokuja kutembea A town.
 
Tena natamani sana kuwa fisadi lakini sijapata nafasi. nikiwa mtumishi nitajiunga nao mafisadi wowowte watakaokua madarakani.iwe nagamba au magwanda

Sidhani hata kama babu yako na bibi yako kule kijijini leo wamepata hata mlo moja
 
Mkutano Maalumu wa Chadema Arusha Mjini Unaendelea. Lengo ni Mikakati ya Ushindi Uchaguzi Mkuu

Washiriki ni Wenyeviti na Makatibu wote wa Kata 25 za Jijini Arusha

Na katika mkutano huo, wawashughulikie wasaliti wote waliokwenda kwenye mkutano wa ccm wa mtangaza nia pale uwanja wa Sheikh Abeid Aman Karume,wahakikishe wanawafukuza Ndesamburo na wenzake upesi kama Zitto vile vile.
 
Na katika mkutano huo, wawashughulikie wasaliti wote waliokwenda kwenye mkutano wa ccm wa mtangaza nia pale uwanja wa Sheikh Abeid Aman Karume,wahakikishe wanawafukuza Ndesamburo na wenzake upesi kama Zitto vile vile.

Propaganda za kijinga Chadema hatufanyagi wewe kwa akili yako ile picture niya uwanja wa Arusha?
 
Ccm wataaibika tu kwa Arusha

Leo nimecheka sana nilipuona mwenyekiti wa CCM arusha kwa namna alivyokuwa na mihemko. Then nikakumbuka ile kauli inayosema CCM wanatabia ya kujitekenya na kujichekesha wenyewe. Wamechukuwa watu kwa malori kutoka mikoa mbali mbali na wengine wamelala uwanjani cos wamekosa sehemu ya kulala then wanasema wameiteka Arusha CCM bhana! Wanafurahisha kweli.
 
Propaganda za kijinga Chadema hatufanyagi wewe kwa akili yako ile picture niya uwanja wa Arusha?
Usimlaumu,Magamba yote ni sawa na mazombi. Akili zao zimekufa. Hawawezi kutofautisha kati ya viwanya vya bunge na sheikh amri abeid stadium. Wao wapo wapo tu kama ngombe vile unaweza kuwaongoza kwa firimbi tu.
 
Leo nimecheka sana nilipuona mwenyekiti wa CCM arusha kwa namna alivyokuwa na mihemko. Then nikakumbuka ile kauli inayosema CCM wanatabia ya kujitekenya na kujichekesha wenyewe. Wamechukuwa watu kwa malori kutoka mikoa mbali mbali na wengine wamelala uwanjani cos wamekosa sehemu ya kulala then wanasema wameiteka Arusha CCM bhana! Wanafurahisha kweli.
Leo ndio ccm Arusha wamejiakikishia kwa wana Arusha na viunga vyake kua ni futuhi
 
Usimlaumu,Magamba yote ni sawa na mazombi. Akili zao zimekufa. Hawawezi kutofautisha kati ya viwanya vya bunge na sheikh amri abeid stadium. Wao wapo wapo tu kama ngombe vile unaweza kuwaongoza kwa firimbi tu.
Wanachojua ni kuifisadi nchi
 
....Kamanda namalizia kazi ya kuwapanga Makamanda kanda ya ziwa Mungu ni mwema tutawasiliana tu japo nasafiri kama Mbayuwayu !!!

Pamoja sana leo mnara wa babeli nguzo ya katikati imeporomoka......
Tupo Pamoja Kamanda na sisi tumejipanga vema sana kuwaleteni Habari za Chama Chetu pendwa Tanzania
 
Wanachojua ni kuifisadi nchi

Wakati makamanda Leo wanapanga mikakati yakuchukua halimashauri,wao wanacheza ngoma tu pale sheikh amri abeid stadium. Magamba bhana! Kwa Arusha jimbo ambalo ninaweza kubaki CCM ni munduli tu. Mengine yote yanakwenda CHADEMA mchana kweupee! Tuombe October tuwe hai tu.
 
Back
Top Bottom