Mkutano ACT Kigoma Ni Aibu Tupu

Mkutano ACT Kigoma Ni Aibu Tupu

blueray

JF-Expert Member
Joined
Sep 15, 2012
Posts
2,217
Reaction score
426
Kila kuchao utasikia 'kutakuwa na Mkutano Mkubwa Wa ACT... mahala fulani'

ACT imepata aibu, Kigoma ikiwa ndio ngome yake kuu, inasikitisha kuona mahudhurio kidogo kiasi hiki.

Inaonekana wananchi wameshashitukia dili; ACT ni ajenti wa CCM. Hata kwenye huu Mkutano Wa kigoma jana 23.07.2014, Na mikutano iliyotangulia kazi kubwa ni kushambulia CHADEMA. Huu ni mkakati wa ajabu kwani CHADEMA si Chama tawala. Matatizo ya nchi hii kwa wananchi hayatokani na CHADEMA. Yanatokana Na uongozi mbovu wa Chama tawala.-

Chama chochote cha siasa lengo lake ni kutwaa dola. Lakini inaonekana dhahili kwamba ACT lengo lake ni kupambana na vyama vya upinzani hasa hasa kupambana na CHADEMA!-

Kwa maana hiyo ACT imejiweka wazi lengo lake na kirefu chake sahihi ni Alliance for Conspiracy and Traitors Au Alliance of Cowards and Traitors kwani tumeeendelea kushuhudia wasaliti, waoga na wala njama wakiendelea kurubuniwa kujiunga na chama hiki ili kuendelea kurubuni viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani.

Shame on you ACT Na umamluki wenu
 
Hili swali halijapata jibu..hivi kwa nini ACT wanaishambua chadema.?!

Taarifa ya kuaninika ACT ni back up ya Njama za CCM kuua Au kudhoofisha nguvu ya CHADEMA Na CUF. Na mwenyekiti wake ni Zitto, sasa hivi anaongoza kwa remote
 
ACT chama makini cha kupambana na CDM, hii ndiyo kazi yetu kuu tuliyopewa kwa hisani ya serikali ya CCM
 
ACT wanapambana na vyama vyote 20.

Mission ya ACT ni kupambana Na vyama viwili; CHADEMA Na CUF, Na hasa CHADEMA kwa sababu ilionekana CUF haikuwa Na nguvu sana. Sasa hivi UKAWA iko kwenye list
 
ACT ni kikundi cha ajabu kuwahi kutokea Tanzania.

Kinapambana na kila mtu.

Na sijui kikipewa dola kitashirikiana na nani ?
 
ACT chama makini cha kupambana na CDM, hii ndiyo kazi yetu kuu tuliyopewa kwa hisani ya serikali ya CCM

Ewaaaa, Hapo umenena... Ila inatakiwa iwe siri, kwa nini unatoboa moja kwa moja? Inatakiwa watu wasijue ili waingizwe mkenge
 
Acheni uoga ndugu zangu wa CDM.
"Adui mbaya ni yule rafiki yako usiyemfahamu ila adui unayejitangaza na kumfahamu ni rahisi kuwa rafiki yako na adui wa adui yako ni rafiki yako" wazeni positive wazee kuhusu ACT ndugu zangu
 
Kila kuchao utasikia 'kutakuwa na Mkutano Mkubwa Wa ACT... mahala fulani'

ACT imepata aibu, Kigoma ikiwa ndio ngome yake kuu, inasikitisha kuona mahudhurio kidogo kiasi hiki.

Inaonekana wananchi wameshashitukia dili; ACT ni ajenti wa CCM. Hata kwenye huu Mkutano Wa kigoma jana 23.07.2014, Na mikutano iliyotangulia kazi kubwa ni kushambulia CHADEMA. Huu ni mkakati wa ajabu kwani CHADEMA si Chama tawala. Matatizo ya nchi hii kwa wananchi hayatokani na CHADEMA. Yanatokana Na uongozi mbovu wa Chama tawala.-

Chama chochote cha siasa lengo lake ni kutwaa dola. Lakini inaonekana dhahili kwamba ACT lengo lake ni kupambana na vyama vya upinzani hasa hasa kupambana na CHADEMA!-

Kwa maana hiyo ACT imejiweka wazi lengo lake na kirefu chake sahihi ni Alliance for Conspiracy and Traitors Au Alliance of Cowards and Traitors kwani tumeeendelea kushuhudia wasaliti, waoga na wala njama wakiendelea kurubuniwa kujiunga na chama hiki ili kuendelea kurubuni viongozi na wanachama wa vyama vya upinzani.

Shame on you ACT Na umamluki wenu

Njaa itakuuweni
 
Kwa sababu ni mamluki waliokubali kutumiwa na wahuni, majangili, magaidi, wauza unga na mafisadi wa MACCM ili kuisambaratisha CHADEMA kazi ambayo MACCM imewashinda.

Hili swali halijapata jibu..hivi kwa nini ACT wanaishambua chadema.?!
 
Nawe jiulize hiv kwann misukule hamlali bila kumtaja zzk midomoni mwenu?yan mkiamka tu kabla yakusafisha vinywa vyenu mnaaza na zitto,mkitoka kunya bac kabla hamjavaa pichu zenu mmeshamtaja zitto yan popotemwendapo akili zenu ni kumuwaza zitto.Nyie simlimfukuza mkadhan ndo mmemkomoa?Sasa povu la nn?
Hili swali halijapata jibu..hivi kwa nini ACT wanaishambua chadema.?!
 
Vijana wa bavicha tumieni vichwa kufikiri,acheni gongo....ACT itawavuga sana, huu ni mwanzo tu
 
Back
Top Bottom